Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2428

Basi la Hood na Best Line Yagongana Jijini Mbeya Asubuhi ya leo

$
0
0

Magari matatu yamepata ajali mkoani Mbeya asubuhi ya leo iliyohusisha mabasi ya Hood ya Mbeya na Arusha na basi la Best linalofanya safari zake Mbeya na Mwanza pamoja na lori eneo la Inyala Mbeya
Katika ajali hiyo mtu mmoja amejeruhiwa vibaya na wengine kupata majeraha madogo madogo.
Kamanda wa polis Mkoani mbeya ACP AHMED MSANGI amedhibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
Mpekuzi blog

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2428

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>