Quantcast
Channel: MC DR CHENI

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERA SANA Grace Gideon Usiku Wako Ulifana sanaaa

Hatariiiii Afande Grace  Mungu aiongoze familia yenu Mpya mnayoenda kuianza hongera Afande wanguUmetishà sana bi harus wangu @shangali58 @shangali58A post shared by Dr cheni (@drchenitz) on Feb 17,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOOK NOW MC DR CHENI CALL +255 713 620 865 +255 754 222 201

Moja ya sherehe ambayo Dr cheni alikua MCMahsein Awadh Said Maarufu kwa jina la Dr cheni katika tasnia ya filamu ambaye kwa sasa pia ni MC Mshereheshaji wa sherehe kama harusi na matukio mbalimbali ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHENI TV:Mwanafunzi wa chuo kikuu akamatwa gest live

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA CHENI TV KILA SIKU UHABARIKE,UELIMIKE NA UBURUDIKE

BOFYA HAPA KUITAZAMANISIKUCHOSHE  BOFYA TU HAPA CHINI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERA SANA ANNET USIKU WAKO ULINOGAA SANAA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHENI TV:TAZAMA HARUSI YA AJABU HAIJAWAHI KUTOKEA DUNIANI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NAMSHUKURU SANA MUNGU KWA KUTIMIZA MIAKA 10 YA NDOA" DR CHENI

 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Tanzania Jumanne ya Novemba 21,2017

BONYEZA HAPA KUSOMA MAGAZETI MENGINE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News:Jengo la Studio za Clouds Media Group Linaungua Moto

Sehemu ya jengo la kituo cha Chouds Media Group linaungua moto muda huu. Juhudi za kuuzima moto huo bado zinaendelea. 

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hamisa Mobetto Atikisa na Filamu Yake ya Zero Player

FILAMU ya mwanamitindo Hamisa Mobeto iliyozinduliwa wiki iliyopita, katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Suncrest Cineplex uliopo ndani ya Quality Center, uliopo Barabara ya Nyerere jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Tanzania Jumatano ya Novemba 22,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Irene Uwoya Aondoka na Baraka Zote Kutoka kwa Baba Mzazi wa Marehemu...

MSANII wa filamu za Kibongo, Irene Uwoya ameagwa kwa maombi na baba mzazi wa aliyekuwa mumewe, Hamad Ndikumana,….. na kushukuru kwa baraka hizo jambo lililovuta na kuteka hisia za watu wengi.Katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Tanzania Jumanne ya Novemba 28,2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANESCO yatekeleza agizo la Rais Magufuli..... Yaanza kubomoa jengo lake kwa...

Uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) umesema umeanza utekelezaji wa agizo la Rais John Magufuli la kubomoa jengo lake lililo ndani ya hifadhi ya barabara eneo la Ubungo jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali ya Zimbabwe Yatangaza siku ya kuzaliwa Rais Mugabe, Februari 21 kuwa...

Serikali ya Zimbabwe imetangaza siku kuu mpya ya kukumbuka mchango wa Robert Mugabe ambaye aliondolewa madarakani wiki iliyopita.Gazeti la serikali la Herald limesema sikukuu hiyo itakuwa ikiadhimishwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Tanzania Alhamisi ya Novemba 30,2017

 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Tanzania Ijumaa ya Disemba 29,2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Swahiba Amtandika Mshale Na Kumuua Rafiki Yake Kisa Deni la Sh, 4,000

Mkazi wa Mtaa wa Kilimahewa katika Halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara, Paul Juma (38), ameuawa kwa kuchomwa mshale na rafiki yake, baada ya kutokea ugomvi kati yao.Inadaiwa ugomvi huo ulitokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli awasilisha fomu inayotaja mali na madeni yake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 28 Desemba, 2017 amewasilisha fomu yake ya tamko kuhusu rasilimali na madeni katika ofisi ya Sekretarieti ya Maadili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gabo kufungua mwaka 2018 na tamthilia ya ‘Kapuni’

Msanii wa filamu, Salim Ahmed ‘Gabo Zigamba’ amejipanga kwa ajili ya mwakani kuja kivingine anasema amekuwa akipata maombi mengi na maoni kutoka kwa wapenzi wa kazi zake kuwa mbona haonekani katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAKWATA Yatangaza Mabadiliko....Viongozi Wote Watapatikana kwa Kuteulliwa na...

Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakari Zuberi amesema Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limefanya mabadiliko ya upatikanaji wa viongozi kwa nchi nzima kuanzia ngazi ya Masheikh wa wilaya, mikoa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Ijumaa ya April 6 ,2018

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa zamani wa Korea Kusini amehukumiwa miaka 24 jela

Rais wa zamani wa Korea Kusini  Park Geun-hye, amehukumiwa miaka 24 jela baada ya kukutwa na hatia katika matumizi mabaya ya madaraka na kusababisha nchi kushuka kiuchumi.Park Geun-hye aliondolewa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Zamani Afrika Kusini Jacob Zuma Afikishwa Mahakamani

Aliyekuwa rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amefikishwa mahakamani leo katika mji wa Durban ili kujibu mashtaka ya rushwa, udanganyifu na kujitajirisha kinyume cha sheria. Kesi hii inasikilizwa kwa mara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shilole Achora Tatoo ya Mwisho Yenye Jina la Mumewe

Mwanamuiki wa kike ambae pia ni mjasiriamali, Shiloleh ameonyesha tatoo aliyochora kwenye mwili wake yenye jina la mume wake mpendwa uchebe yenye jina ‘ASHRAF‘  na kusema kuwa hiyo ndio tatoo yake ya...

View Article



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>