Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2428

KIJANA AUAWA KWA KUCHOMA KISU BAA AKIGOMBEA MWANAMKE

$
0
0
Watu wawili wameuawa mkoani Shinyanga katika matukio mawili tofauti, likiwamo la kijana kuchomwa kisu akigombea mwanamke katika baa ya Matunu mjini Shinyanga.
kisu
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Dismas Kisusi alisema tukio la kwanza ni la juzi saa 6:00 usiku katika eneo la baa hiyo iliyopo mtaa wa Kaunda, 



Viewing all articles
Browse latest Browse all 2428

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>