Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Walichoongea Rais Kikwete Na Maalim Seif Baada ya Kukuta Ikulu Jijini Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amekutana naMakamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharrif...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Tanzania Leo Alhamisi ya Disemba 24, 2015

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yatangaza ‘Kuminya’ AJIRA za Wageni......Wanaoishi Nchini Bila...

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga ameagiza waajiri kote nchini kutowapa ajira wageni kwa kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania.Pia, ameagiza maofisa wa Idara ya Uhamiaji kufanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Atoa Zawadi Za Sikukuu Ya Krismasi Kwa Watoto Wa Kijiji Cha...

Afisa Ustawi wa Jamii kutoka Sekretarieti ya Mkoa wa Dodoma Bi. Ziada Nkinda (Aliyebeba Mtoto) akikabidhi zawadi za siku kuu ya Noeli (Christmas) zilizotolewa na Mhe. Rais John Pombe Magufuli kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MC DR CHENI AKIWA KAZINI

Matukio Mbalimbali ya sherehe ambazo Dr cheni alikua MCMc Dr Cheni akiwa kazi "Hapa Kazi Tu"Mahsein Awadh Said Maarufu kwa jina la Dr cheni katika tasnia ya filamu ambaye kwa sasa pia ni MC...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Ashiriki Misa Ya Krismasi Kanisa La Mtakatifu Peter Jijini Dar...

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwasili kushiriki Ibada ya Krismas misa ya kwanza katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam leo Desemba 25, 2015. BONYEZA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Tanzania Leo Ijumaa Ya Disemba 25, 2015

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL NOW +255 658 194 194 FOR MC DR CHENI I T & BUSINESS CONSULTANCY...

                BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)..............................  60,000/=              BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)..................... 45,000/=              ADSENSE (BLOGGER...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askofu Morogoro Amtaka Rais Magufuli Kuendeleza 'moto' ili Kuwadhibiti Wapiga...

Serikali ya awamu ya tano imeshauriwa kuendelea na adhma yake ya kudhibiti watumishi wa umma wanaotumia madaraka yao vibaya kwa maslahi binafsi.BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Tanzania Leo Jumamosi Ya Tarehe 26, 2015

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bondia Thomas Mashali Amtwanga Cheka Mjini Morogoro

Bondia Thomas Mashari kutoka Dar amempiga Francis Cheka kwa pointi mjini Morogoro katika pambano la raundi 10, uzito wa Kg 77.Majaji wamempa Mashari pointi 94, 96 na 97 wakati mwenyeji Cheka amepata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Platnumz Aweka Historia Tena Dar Live...Angalia Alichofanya Hapa

Diamond Platnumz akisema na mashabiki wake waliofurika Dar Live usiku wa kuamkia leo  BONYEZA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Tanzania Leo Jumapili ya Disemba 27,2015

BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FAHAMU JINSI YA KUANZA KUTIMIZA NDOTO YAKO HATA KAMA UNADHANI NI NGUMU

 Na Lewis MbondeKinachofanya watu wafanikiwe ukiacha bahati ni swala la kujituma katika wayafanyayo. Haitoshi tuu kuota na kutamani kuwa wa aina fulani ya maisha, haitoshi tuu kuwa na mipango na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kiama cha Wafanyakazi Waliosafiri Nje Ya Nchi chaja

Adhabu inawanyemelea watumishi wa serikali waliokaidi agizo la kutosafiri nje ya nchi bila kibali cha Rais John Magufuli na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue.Habari zilizopatikana kutoka baadhi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Tanzania Jumatatu Ya Disemba 28, 2015

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waganga Wa Tiba Asili Waigomea Serikali Kuzuia Kujitangaza........Wasema Dr....

Waganga wa Tiba Asili Nchini wamepinga tamko la Serikali lenye maagizo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kupiga marufuku waganga hao kujitangaza katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.  BONYEZA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Nape Akanusha Wizara Yake Kukataza Wanawake Kuvaa Mavazi ya Kubana

Waziri wa Habari, Utamaduni Wasanii na Michezo Nape Nnauye, amekanusha taarifa iliyosambaa mitandaoni inayohusu wizara yake kukataza baadhi ya mavazi hasa sehemu za mikusanyiko ya umma.Amesema Taarifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Awaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri Waliokuwa Wamesalia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mhandisi Gerson Lwenge kuwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji Ikulu jijini Dar es Salaam.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yanga Yatangaza Kuvunja Mkataba Na Haruna Niyonzima....Yamtaka Kulipa Fidia...

Afisa Habari wa klabu ya Yanga Jerry Muro wakati akizungumza na waandishi wa habari leo makao makuu ya klabu ya Yanga juu ya kuvunjwa mkataba kati ya klabu ya Yanga na Haruna Niyonzima*********Klaubu...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>