Na Victor Joseph ,LEWIS MBONDE BLOG
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Said Meck Sadick(kulia)akipokelewa na Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa kampuni ya Coca Cola,Bonite ya mjini Moshi,Christopher Loiruk alipowasili kuzindua michezo ya COPA UMISSETA kitaifa kwenye uwanja wa Chuo cha Ushirika,mjini Moshi ambayo mwaka huu michezo hiyo imedhaminiwa na kampuni ya vinywaji baridi ya Coca Cola
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Said Meck Sadick akikagua moja ya timu iliyoshiriki mashindano ya uzinduzi
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Said Meck Sadick akipiga mpira wa penati wakati akizindua michezo ya Shule za Sekondari( COPA UMISSETA)kitaifa kwenye uwanja wa Chuo cha Ushirika,mjini Moshi ambayo mwaka huu michezo hiyo imedhaminiwa na kampuni ya vinywaji baridi ya Coca Cola.
![](http://3.bp.blogspot.com/-XxnvB6Xz5fA/VzdAyEq6e7I/AAAAAAAAGCY/onEwB2fZyR0bZ5OwOWp2PiikKUMbZZ5AACLcB/s640/COCA%2BMOSHI%2B20.jpg)
Wanafunzi wa Shule za Sekondari Reginald Mengi na Northern Highland wakichuana kwenye uwanja wa Chuo cha Ushirika Moshi wakati wa uzinduzi wa michezo ya Shule za Sekondari ya COPA UMISSETA kitaifa mkoa wa Kilimanjaro.Mashindano haya mwaka kuu yanadhaminiwa na kampuni ya Coca Cola
Wanafunzi wakipokea vifaa vya michezo kutoka kampuni ya Coca Cola
![](http://4.bp.blogspot.com/-P9purUE41VE/VzdAyh0M2CI/AAAAAAAAGCc/tvcR_dxAw3gAteo31LDUUFXnakNqkl8FACLcB/s640/COCA%2BMOSHI%2B21.jpg)
Afisa Masoko wa Kampuni ya Coca Cola,Mariam Sezinga akiongea wa waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Said Meck Sadick akihutubia wananchi waliohudhuria uzinduzi wa mashindno hayo
![](http://4.bp.blogspot.com/-XOrJ0IWfWIg/VzdA252vyjI/AAAAAAAAGCk/in-zfGFw66Ms8fB8NGWGfzkjDuI8DvRtACLcB/s640/COCA%2BMOSHI%2B23.jpg)
Baadhi ya walimu wa shule za sekondari waliohudhuria uzinduzi huo wakipunga mkono wakati wa zoezi la utambulisho