Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashindano ya COPA UMISSETA yazinduliwa mkoani Kilimanjaro

   Na Victor Joseph ,LEWIS MBONDE BLOGMkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Said Meck Sadick(kulia)akipokelewa na  Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa kampuni ya Coca Cola,Bonite ya mjini Moshi,Christopher Loiruk...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMIA YA WAKAZI WA JIJI LA MBEYA WAJITOKEZA KUMZIKA MSANII KINYAMBE

MBEYA: MAMIA ya wakazi ya jiji la Mbeya wamemzika aliyekuwa msanii wa vichekesho James Petro Nsemwa (30) maarufu kama Kinyambe ambaye alifariki dunia jumatano ya wiki hii mkoani Mbeya, katika makaburi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumapili ya May 15, Ikiwemo ya Majipu Mapya Tanesco na Tume...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mimi si Mali ya Mtu na Wala Sipo Kwa Ajili ya Kujiuza-Wastara Juma Afunguka

DOWNLOAD UDAKU SPECIAL APP HAPAStaa wa Bongo Movie, Wastara Juma  ambaye siku za karibuni aliomba talaka kutoka kwa mume wake amefunguka na kusema yeye sio mtu wa kujiuza, bali ni mtu ambaye anajijali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Safari Ya Mwisho Ya Mtoto Wa Issa Michuzi Maggid Muhidini Michuzi

Baba wa marehemu (mwenye kofia), Issa Michuzi akipewa pole na baadhi waombolezaji mara baada ya maziko ya mtoto wake Maggid Muhidin Michuzi (18) yaliyofanyika katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MC DR CHENI KAZINI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yanasa Kilo 34,000,000 za Sukari Mafichoni

Shehena ya sukari ya kilo milioni 34 zilizokuwa zimefichwa kwenye maghala ya wafanyabiashara watatu Kilimanjaro imekamatwa na vyombo vya usalama, na serikali mkoani humo imetangaza kuiuza kwa wananchi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto wa Michael Jackson Aanza Kufuata Nyayo za Baba yake

Mtoto wa nyoka ni nyoka tu.Hatimaye mtoto wa Michael Jackson, Pris Jackson (18) ameanza kufuata nyayo za baba yake kwa kuanza kutoboa ulimi. Paris amepost picha inayomuonyesha akiwa ametoboa ulimi na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Jumatatu Ya May 16 2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Nape Alivyofafanua Suala La Kurusha Live Bunge Mjini Dodoma

Sehemu ya Majumuisho ya Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akitolea ufafanuzi suala la Bunge  kurushwa Live na studio za Bunge.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Aondoka London Kurejea Nchini

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na wafanyakazi wa Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo London wakati alipoondoka kwenye hoteli ya Intercontinental kurejea Dae es salaam Mei 15,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu 12 Watiwa Mbaroni Wakituhumiwa Kuhusika na Mauaji ya Watu 7 Jijini Mwanza

Siku chache baada ya watu saba wa familia moja kuuawa kwa mapanga wilayani Sengerema mkoani Mwanza, polisi wamefanikiwa kuwatia mbaroni watu 12 kwa tuhuma za mauaji hayo huku mmojawapo akikamatwa kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aika: Nina Wivu Hatari Kwa Nahreel Acha tu

Memba wa Kundi la Navy Kenzo, Aika Mareale amefunguka kuwa ana wivu wa kupindukia kwa memba mwenzake ambaye ni mpenzi wake, Emmanuel Mkono ‘Nahreel’ wanaotamba na wimbo wao wa Kamatia Chini kwani kuna...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashabiki wa Diamond Washerehekea Tangazo hili la MTV Base

Seems like Diamond Platnumz amewapa taarifa muhimu MTV Base.Kupitia akaunti yake ya Instagram, kituo hicho cha runinga kiliandika kuwa staa huyo anakuja na collabo na Chris Brown.“@diamondplatnumz...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lady Jaydee Kutoa Kauli yake Leo Baada ya Kudai Kudhalilishwa na Gardner

Siku 14 tangu Mtangazaji wa Clouds Fm Gardner Habash kudaiwa kutoa lugha ya udhalilishaji dhidi ya aliyekuwa mke wake Judith Wambura, mwanamuziki huyo maarufu kwa jina la Lady Jaydee, amesema leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Here are Twenty (20) Reasons Why You Should Visit Zanzibar – Tanzania

Zanzibar’s reputation as an island paradise is not an exaggeration. Zanzibar is actually a whole group of islands – two large islands –Ungoja and Pemba plus other small islands. The beautiful island...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makosa ya Mwanaume yanayosababisha Mke Amsaliti

Kuna sababu anuai zinazomfanya mwanamke amsaliti mumewe. Ni muhimu kutambua kuwa mwanamke ni kiumbe mwenye hisia kali na daima ahisi raha na amani. Baadhi ya nyakati hufanya usaliti ili kuziba pengo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii Ndio Kazi Nyingine ya Johari Mbali tofauti na Uigizaji

Msanii mkongwe wa filamu, Brandina Chagula ‘Johari’ amesema nje ya filamu anafanya biashara ya mapishi ya vyakula mbalimbali lakini ni kwa oda maalum.Muigizaji huyo ambaye pia ni mkurugenzi wa kampuni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumanne ya May 17 2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Walimu 35,411 Kuajiriwa Mwezi wa 7 Mwaka Huu

Walimu 35,411 nchini wataajiriwa katika shule za msingi na sekondari katika mwaka wa fedha 2016/2017.Watakaokaidi kwenda kuripoti katika mikoa ya pembezoni, hawataajiriwa na serikali.Hatua hiyo...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>