Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2428

Shetta: Mimi sibebi Unga

$
0
0
Star wa Bongo Fleva Shetta anayefanya vizuri na wimbo wake mpya wa ”Namjua” ameweka wazi juu ya mafanikio yake baada ya kuwa na tetesi nyingi kuwa siku hizi na yeye anabeba mabegi ya unga.
shetta23
Akizungumza na Enewz Shetta alikanusha tuhuma hizo na kudai kuwa yeye shughuli yake kubwa ni mziki na hata anaposafiri kwenda nchi nyingine watu huwa wanaona yeye anachokifataga huko kama kushuti video nzuri pamoja na show.
“Mimi sifanyi hiyo biashara nafanya mziki kuna vitu vingi vya kutuingizia pesa sisi wasanii tunauza video zetu yutubu,matukio miito ya simu,endorsement na nimeshakuwa balozi wa kampuni kubwa kwahiyo ninavitu vingi vya kuniingizia pesa”,alisema Shetta.
eatv.tv

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2428

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>