Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Ombeni Sefue ameendelea kuwasisitiza watumishi wa Umma kuvaa beji zinazowatambulisha majina yao wanapokuwa katika maeneo ya kazi.
↧
Balozi Sefue Awaagiza Watumishi Wa Umma Kuvaa Beji Zenye Majina Yao Wawapo Katika Maeneo Yao Ya Kazi
↧