Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL NOW +255 658 194 194 FOR MC DR CHENI I T & BUSINESS CONSULTANCY...

                  CALL NOW +255 658 194 194 FOR MC DR CHENI I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION                   PROPOSAL FOR DONORS...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Upotevu wa Makontena 349 Bandarini: Watu 12 Watiwa Mbaroni na Jeshi la Polisi

Kufuatia agizo la Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa la kuwataka watuhumiwa wa wizi wa makontena 349 katika bandari ya Dar es salaam kuchukuliwa hatua na Jeshi la Polisi, tayari Jeshi hilo limewashikilia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli kaamua Bilioni zilizokua zitumike sherehe za uhuru 9 Dec...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameamuru fedha zilizopaswa kutumika kugharamia shamra shamra za siku ya Uhuru ambazo zingefanyika tarehe 09 Desemba 2015, kutumika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Tanzania Leo Jumanne ya Tarehe 1 Disemba 2015

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maagizo ya Serikali Kwa Watumishi Wote wa Umma Kuhusu Kwenda Kazini Au...

SERIKALI imesema  siku ya  Desemba 9 iliyopangwa kuwa siku ya usafi wa mazingingira haitawafanya wafanyakazi wa utumishi wa umma kwenda kazini bali wataungana na wananchi kwenye maeneo wanayoishi kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Awatakia Heri Watanzania Wote Katika Siku ya UKIMWI Duniani.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewatakia heri watanzania wote katika siku ya UKIMWI duniani itakayofanyika kesho tarehe 01 Desemba, 2015Katika salamu hizo Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MC DR CHENI KAZINI UKUMBI MSIMBAZI CENTRE HAPA KAZI TU

Mahsein Awadh Said Maarufu kwa jina la Dr cheni katika tasnia ya filamu ambaye kwa sasa pia ni MC Mshereheshaji wa sherehe kama harusi na matukio mbalimbali ya kitaifa na kimataifa.Call now these...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli Aitikisa Dunia Kwa Uchapakazi......Jina Lake Latawala Magazeti ya...

Kwa wiki ya pili sasa Rais Dkt Magufuli ameendelea kuwa gumzo barani Afrika na sasa hadi nchi za Ulaya zimedata naye. Gazeti kubwa la Marekani, The Guardian limeandika habari isemayo: What would...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sakata la Makontena: Polisi Kwa Kushirikiana na TRA Wakamata Makontena 9

Maofisa wa Jeshi la Polisi  Dar es Salaam kwa kushirikiana na TRA, wanayashikilia makontena 9   Mbezi Tanki Bovu baada  ya  kuyatilia shaka kuwa yalikuwa yanasafirishwa kinyememela usiku wa kumakia leo

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Tanzania Leo Jumatano Disemba 2, 2015...Ikiwemo ya Bosi TRA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sad News: Basi la Takbir Lagongana na Lori Usiku wa Jana na Kuua Watu zaidi...

 Basi la Taqbir namba T 230 BRJ likiwa eneo la tukio.   Habari zilizotufikia hivi punde kutoka Tabora zinaarifu kua basi la Taqbir namba za usajili T 230 BRJ lililokua likitokea jijini Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Sefue Awaagiza Watumishi Wa Umma Kuvaa Beji Zenye Majina Yao Wawapo...

Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Ombeni Sefue ameendelea kuwasisitiza watumishi wa Umma kuvaa beji zinazowatambulisha majina yao wanapokuwa  katika maeneo  ya  kazi.BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Tanzania Leo Alhamisi ya Disemba 3, Ikiwemo ya Mawaziri wa JK...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JE UNATAKA KUANZISHA BIASHARA? TUNAWEZA KUKUSAIDIA KUANDIKA MCHANGANUO WA...

BUSINESS PLAN WRITE UP................150,000/=                     Call Now +255 658 194 194

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Waziri Mkuu Afanya Tena Ziara ya Kushtukiza Bandarini na...

  Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akikagua bandari ya Dar es salaam  Desemba 3, 2015 ambako alikwenda kupata ukweli kuhusu makontena 2,431 yaliyopitia kwenye bandari hiyo bila kulipiwa kodi ya serikali....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Dkt. Magufuli Atoa Siku Saba kwa Wafanyabiashara Wakwepa Kodi.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Dkt.John  Pombe  Magufuli amewapa siku saba kuanzia tarehe 03/12/2015 wafanyabiashara wote ambao waliingiza mizigo yao bila kulipa kodi wakalipe kwani baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Afisa Ardhi Morogoro Kapewa Siku 14 Za Kujieleza Kwa Nini Asifukuzwe Kazi

Katibu mkuu ofisi ya Waziri mkuu (TAMISEMI) Jumanne Sagini ametoa siku 14 kwa afisa ardhi, mhandisi wa majengo na Afisa mipango miji manispaa ya Morogoro kuandika maelezo ya kwanini wasifukuzwe kazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Kwa Umma Toka Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Tanzania Leo Ijumaa Ya Desemba 4, 2015 Ikiwemo Ufisadi wa Makontena

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli: Sijachangiwa na Mfanyabiashara Yeyote Kuingia Ikulu.

Rais Dk. John Magufuli, amesema hakuna mfanyabiashara aliyemchangia  kumuwezesha kuingia Ikulu katika kampeni za uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, ili aweze kusimamia ipasavyo makusanyo ya kodi...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>