Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Edwin Ngonyani amelitaka gazeti la Mseto kumuomba radhi na kumlipa fidia ya shilingi bilioni moja kwa kosa la kuandika habari iliyomchafua.
![DSC_6710](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/08/xDSC_6710.jpg.pagespeed.ic.pi1yqzlBsl.jpg)
Waziri Ngonyani amesema Agosti 4 mwaka huu gazeti hilo liliandika habari iliyomhusisha kupokea fedha kutoka moja ya Kampuni ya Madini wakati akiwa