Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2428

Picha 15: Mastaa walivyokaribishwa bungeni Dodoma leo kabla ya kuidondosha fiesta 2016

$
0
0
September 16 2016 historia nyingine itaandikwa ndani ya viwanja vya makao makuu ya nchi Dodoma ambapo burudani ya FIESTA 2016 inatarajia kudondoshwa hapo kutoka kwa wasanii mbalimbali wa bongo.
Asubuhi ya leo baadhi ya wasanii na wafanyakazi wa Clouds media walipata nafasi ya kutembelea bunge ili kujionea utendaji kazi unavyofanyika na hapa nimekuzogezea picha 13 za mastaa hao kuanzia nje hadi ndani.
qqq
2x6a0578
Baadhi ya wafanyakazi wa Clouds media na wasanii wakiwa nje ya bunge
2x6a0590
Wasanii G Nako na Jux wakiwa nje ya bunge
2x6a0591
.
2x6a0637
2x6a0641
Joh Makin
ddd
2x6a0668
Mtangazaji wa XXL B 12 pamoja na wasanii wengine ndani ya bunge
2x6a0683
Kutokea kushoto Chege, Snura, B 12
2x6a0689
.
2x6a0693
2x6a0701
Kutoka kushoto Maua sama, Mr Blue, Adam Mchomvu
2x6a0719
.
2x6a0733
2x6a0741

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2428

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>