Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wasanii na viongozi wa WCB waalikwa nyumbani kwa rais mtaafu Jakaya Kikwete

Rais mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Kikwete Jumatano hii aliwaalika wasanii wa label ya WCB pamoja na viongozi nyumbani kwake na kula nao chakula cha mchana.JK ambaye ni mmoja kati ya marais ambaye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Utafiti wa Twaweza: Watazania 96% wanampongeza Rais Magufuli

Taasisi inayojishughulisha na kufanya tafiti mbalimbali nchini ya TWAWEZA. Leo imetoa ripoti inayoonyesha kuwa asilimia 96 ya Watanzania wapongeza utendaji wa Rais Magufuli, huku asilimia 68 wapongeza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO YA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

 Spika wa Bunge la Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akiingia katika ukumbi wa Bunge kuongoza kikao cha saba cha bunge la kumi na moja leo mjini Dodoma. Spika wa Bunge la Jmahuri ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha 15: Mastaa walivyokaribishwa bungeni Dodoma leo kabla ya kuidondosha...

September 16 2016 historia nyingine itaandikwa ndani ya viwanja vya makao makuu ya nchi Dodoma ambapo burudani ya FIESTA 2016 inatarajia kudondoshwa hapo kutoka kwa wasanii mbalimbali wa bongo.Asubuhi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTAFITI: WANAWAKE WANNE KATI YA 10 WANAOFANYA BIASHARA YA NGONO WANA UKIMWI

Utafiti uliofanywa na Shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na upimaji wa virusi vya Ukimwi la MATUMAINI, unaonyesha kuwa kati ya wanawake kumi wanaofanya biashara ya ngono wanaopima wanne kati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Itafanyika lamada hotel.... Apartment (mikumi) chumba namba 38

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aliyekuwa boyfriend wa mtoto wa Whitney Houston ahusishwa rasmi na kifo cha...

Nick Gordon, ameonekana kuhusika kwenye kifo cha aliyekuwa mpenzi wake, Bobbi Kristina Brown – binti wa marehemu, Whitney Houston, imeripotiwa.Bobbi – mtoto pekee kwa Whitney Houston na Bobby Brown –...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘Say My Name’ ya Shilole yaongoza chati za Soundcity

Shilole ameitimiza ndoto waliyonayo wasanii wengi wa Bongo Flava. Wimbo wake ‘Say My Name’ aliomshirikisha Barnaba, umekamata nafasi ya kwanza kwenye chati za muziki wa Afrika Mashariki kwenye kituo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ray C aanza kurekodi wimbo wake mpya ‘Panya Road’

Baada ya kuonekana kuanza kuwa na afya njema baada ya kupambana kutoka kwenye matumizi ya madawa ya kulevya, Ray C ameonekana kuanza kuingia studio kurekodi wimbo wake mpya.Kupitia mtandao wake wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naongoza kwa kutukanwa kwenye muziki, lakini najivunia kuupeleka muziki...

Mkurugenzi wa Uzalishaji wa Vipindi Clouds Media Group, Ruge Mutahaba amesema yeye ni mtu ambaye anaongoza kwa kutukanwa katika tasnia ya muziki kutokana na harakati zake za kuupigania muziki.Akiongea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi Waliopo Dar es Saalam Kupatiwa Matibabu Bure

Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dar es Saalam iliyo chini ya mheshimiwa Paul Makonda imeratibu tukio maalum litakalofanyika siku ya tarehe 24-25/09/2015 kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja. Ambapo wananchi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongereni Sanaaa Mr and mrs Daniel

 Maharusi wetu mlinogaaa sanaaa Mc kazini nikiwajibikaaWageni waalikwa walinogaaWageni waalikwa walinogaa  Wageni waalikwa walinogaaaa

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashabiki wajipanga kumsaidia rapper Nelly kulipa deni la $2.4m za kodi

Rapper Nelly yupo kwenye wakati mgumu kutokana na deni alilonalo la $2,412,283 kutokana na malimbikizo ya kodi. Pia rapper huyo anadaiwa na idara ya mapato ya Missouri $149,511 za kodi kuanzia mwaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete avutiwa na wimbo ‘Matatizo’ wa Harmonize

Wimbo ‘Matatizo’ wa msanii wa muziki Harmonize, ni moja kati ya nyimbo ambazo zinapendwa na Rais Mtaafu, Jakaya Mrisho Kikwete.Wiki moja iliyopita Mh.Rais Mstaafu Jakaya Kikwete aliwaalika viongozi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sheria zote Nchini kuwa kwa Kiswahili

Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Profesa Sifuni Mchome amesema kuanzia sasa sheria zote zitakazotungwa nchini zitakuwa katika lugha ya Kiswahili ili kuwawezesha wananchi wengi ambao ndio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS Magufuli: Tetemeko Halijaletwa na Serikali, Watu Wafanye Kazi

Mkuu Anasema waathirika wasikae tu huko wanangoja hela za serikali kwa sbb wanasikia zimechangwa,waanze kujisaidia kwanza wao na serikali itawasaidia pale waliposhindwa.Mkuu anasema mtu ukuta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA ZIARA YA WASANII KWENYE KABURI LA ALBERT MANGWEA

Ikiwa ni Muendelezo wa Tamasha la Fiesta linalo wakutanisha wasanii wakali nchini Tanzania na kuzunguka Mikoa mbalimbali hapa nchini, leo ni zamu ya Morogoro ambapo wasanii na uongozi wa Clouds Media...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA PICHA ZA FIESTA JANA MOROGORO

Chege Chigunda Performing Dar mpaka Moro Music on the stage of Tigo Fiesta MoroChristian Bella doing his things on Fiesta MorogoroMuch Energy to Vanessa aka Vee Juma Jux and vee money performing...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JB Kuja na Surprise ya Kalambati Lobo Septemba

MWIGIZAJI mkongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood Jacob Stephen ‘JB’ anatarajia kuja na Surprise kubwa pale atakapoachia filamu kubwa na y a kipekee ya Kalambati Lobo, akiongea na FC mwigizaji na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongereni sana Ben na jack Usiku wenu ulikuwa wa kipekee

 Hongereni sana maharusi mr andmrs ben mlinogaaa sanaa MC nikiwajibikaaa Wageni waalikwa walinogaaa

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live