Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Angalia hapa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vikuu...

Walioomba Diploma na vyeti  kupitia Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE)  wanaweza kutazama kama wamepata vyuo au la kwa kuingia kwenye mfumo wa CAS wa Nacte.==> Bofya hapa  kuangalia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Swala Ya Eid Kuswaliwa Bakwata Makao Makuu Kinondoni Jijini Dar Es Salaam

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Aongoza Swala Ya Idd El Haji Viwanja Vya Mwembe...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa hutuba katika swala ya Idd El Haji iliyofanyika Viwanja vya Mwembe Yanga Dar es Salaam leo asubuhi. Swala ikiendelea.Waziri Mkuu alivyojumuika na waislam wenzake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Aahirisha Safari Yake Ya Zambia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameahirisha ziara yake  ya siku tatu Nchini Zambia  ambapo pamoja na mambo mengine ilikuwa ahudhurie Sherehe  za kuapishwa kwa Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kocha wa zamani wa Simba, James Aggrey Siang’a amefariki

Taarifa kutoka Kenya zinasema aliyekuwa kocha wa zamani wa Simba, James Aggrey Siang’a amefariki Septemba 10, 2016 alfajiri mjini Bungoma baada ya kuugua kwa muda mrefu.Siang’a alikuwa ni miongoni mwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu waamua kulala nje ya nyumba Bukoba baada ya Tetemeko Kutokea kwa Mara ya...

September 10 2016 lilitokea tetemeko la ardhi Kagera kanda ya ziwa Tanzania lenye kipimo cha 5.7 na kusababisha vifo vya watu 16 na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa ambapo ndani ya saa 24 baadae...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Aongoza Wananchi Kuaga Miili Ya Waliokufa Kwa Tetemeko

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameongoza maelfu ya wananchi wa Manispaa ya Bukoba mjini kuaaga miili ya watu 16 waliofariki kutokana na tetemeko la ardhi lililotokea  Jumamosi, 10 Septemba, 2016 mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Rasmi ya Serikali Kuhusu Tetemeko la Ardhi Lililotokea Bukoba

1 Tukio la tetemeko:Tarehe 10/09/2016 saa 9 na dakika 27 mchana kumetokea tetemeko la ardhi mkoani Kagera.Kitovu cha tetemeko hilo ni kwenye makutano ya latitudo 10 06’ na longitudo 31055’ eneo ambalo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vitambulisho vya Taifa Kubadilishwa kuanzia Jumatano Septemba 14, 2016

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inatarajia kubadilisha vitambulisho vyote vya zamani ambavyo havina saini, huku ikitarajia kutoa vitambulisho vipya vyenye saini kwa wananchi wote,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viongozi wa Afrika Mashariki Waigomea Ulaya....Wajipa Miezi Mitatu...

JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC), imeiomba Jumuiya ya Ulaya (EU), iipe muda wa miezi mitatu kujua hatima ya wao kusaini Mkataba wa Kiuchumi na Jumuia hiyo (EPA).Uamuzi huo ulifikiwa jana Ikulu Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Siwalaumu Wanaopenda Skendo – JB

Msanii wa filamu nchini Jacob Stephen maarufu kama JB amefunguka na kusema kuwa yeye hawalaumu wasanii ambao wamekuwa wakiendesha maisha yao ya sanaa kwa kutafuta ‘kiki’ au kufanya skendo.Amesema kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yakusanya zaidi ya shilingi bilioni 1 ya wahanga wa tetemeko la ardhi

Serikali imekusanya kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni moja kutoka kwa mabalozi wa nchi mbalimbali, wafanyabiashara na watu binafsi kwenye mkutano wa kuchangia wahanga wa tetemeko la ardhi lililotokea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WATOA POSHO KUSAIDIA MAAFA KAGERA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, (Tamisemi) George Simbachawene amesema madaktari bingwa zaidi ya 15 kutoka Mwanza wamepelekwa Kagera kwa ajili ya kuongeza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Namba ya akaunti ya kuwachangia walioathiriwa na tetemeko la ardhi Kagera

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majambazi Yavamia Magari ya Mnadani na Kumuua Dereva Mmoja kwa Risasi

Majambazi wapatao 10 juzi usiku walivamia magari mawili yaliyobeba wafanyabiashara waliokuwa wakitokea mnadani na kumuua kwa risasi, dereva aliyegoma kuwapa fedha na simu. Dereva huyo, Chrispin...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakurugenzi Wapya 13 Waapishwa.....Watakiwa kufuatilia maagizo ya viongozi

Wakurugenzi wapya 13 wa halmashauri wameapa kulinda maadili na kukabidhiwa majukumu ya kufuatilia maagizo ya Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu, kwenye maeneo yao na kutoa mrejesho wa hatua za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanafunzi Wacharaza Viboko Walimu Wao ........Mmoja Ang'olewa Meno Matano,...

Waziri wa Elimu, Prof Joyce NdalichakoWawanafunzi wa Kidato cha Sita Shule ya Sekondari Usevya wilayani Mlele Mkoa wa Katavi, wanadaiwa kuwashambulia kwa kuwacharaza viboko walimu wao wawili miongoni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shamsa Ford Awatia Moyo ‘Single Mothers’

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford ambaye ameolewa siku za karibuni amewatia nguvu wanawake ambao wanalea watoto peke yao bila wazazi wa kiume.Shamsa amesema kuwa licha ya yeye kuolewa sasa lakini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gavana Prof Ndulu wa BOT Afichua Siri ya Kilio Cha Fedha Kupotea Mtaani

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Benno Ndulu jana alitolea ufafanuzi hali ya kiuchumi nchini huku akieleza siri ya kilio kinachovuma cha fedha kupotea mtaani na nyingine zikidaiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sheria ya mitandao yaeendelea kung’ata, 5 wafikishwa mahakamani kwa makosa...

Sheria ya mitandao imeendelea kung’ata, baada ya wakazi watano wa Dar es Salaam kufikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusomewa mashtaka tofauti ya kumdhalilisha Rais na Jeshi la Polisi kwenye...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>