Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizara ya Elimu Yawaasa Vijana Kutumia Elimu Kujiajiri

Na Jacquiline Mrisho-MaelezoSERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi imewaasa vijana waliomaliza shule kuacha kujibetweka bali watumie elimu waliyoipata kujitafutia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAKWATA yatangaza siku ya Sikukuu ya Eid ya kuchinja

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA MATUKIO MBALIMBALI BUNGENI MJINI DODOMA LEO

Baadhi ya Wabunge wakielekea katika ukumbi wa bunge kuhudhuria mkutano wa nne(4) wa bunge la kumi na moja (11) la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Mjini Dodoma.Baadhi ya Wabunge wakiingia katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongereni sana Mr and Mrs David mangesho

Hongereni sana Mr and Mrs David mangeshoSarah walishana na mumewe hongera sanaMc nikiwajikaHongera wachanga kwa kudumisha utamadun wenu Mc kazini Nipo na wakali wangu wapambanaji wenzangu hawa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wasichana Kunigombania Siyo Dhambi – Steve Nyerere

Msanii mkongwe wa filamu Steve Nyerere amedai wasichana kugombana kwa ajili ya staa ni jambo la kawaida hivyo yeye ashangai kusikia bado kuna wasichana wanagombana kwa ajili yake.Akiongea katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongera Sana Happy kwa hatua hii Usiku wako Ulinogaa sanaa

 Binti wa kinyarwanda kanoga hongera Sana happy kwa hatua hii Mc nikiendelea kuwajibikaBi harus mtarajiwa akikata keki Mc Kazini Bi harus mtarajiwa happy ktk pozi Mc ktk poziFull kucheza kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongera sana jack usiku wako ulikua wa furaha sanaaa

Hongera sana bi harusi mtarajiwa jack  Jack akitabasamu kwa furahaMc dr cheni na bi harus mtarajiwa jackBi harus mtarajiwa akikata keki Kitu cha ndafu shikamooo wachaga Bi harusi mtarajiwa jack akiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mr Blue, Barakah Da’ Prince Wapatana

BAADA ya kutibuana kisa kikiwa Naj, hatimaye wakali wa Bongo Fleva, Mr Blue na Barakah Da’ Prince wameamua kuwa kitu kimoja.Wawili hao walipatana saa chache kabla ya kufanyika Tamasha la Fiesta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMANDA SIRRO AWATOA HOFU WANAPANGAJI WA NYUMBA ZA WAGENI JIJINI DAR

Kamishna wa Polisi Kanda Maalum Dar Es Salaam anatoa rai kwa wakazi wa Jiji la Dar Es salaam na wageni wanaoingia jijini wakitokea mikoani  kupuuza  taarifa za sauti  zinazozagaa katika mitandao ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI MBAYA IMETOKEA JANA ENEO LA PALM BEACH DAR

Kuna ajali imetokea eneo la Palm Beach muda wa saa 12:15 asubuhi ya  BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais: Viongozi Na Watumishi Wa Umma Kuchukuliwa Hatua Kali Iwapo...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameiagiza Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Nchi kuchunguza na kuwachukulia hatua kisheria na za kinidhamu viongozi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Alikiba Aelezea ‘King Kiba’ ilikotokea, Adai si Mtu wa Maringo

Alikiba ametoa ufafanuzi wa wapi #KingKiba ilitokea kiasi cha kuitumia katika sehemu nyingi.Akiongea kwenye kipindi cha Ngaz Kwa Ngaz kilichoruka Alhamis hii kupitia EATV, Kiba alisema ni mashabiki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama Rwakatare awatoa wafungwa 12 gereza la Keko

Mchungaji wa kanisa la Mikocheni B Assemblies of God, Askofu Dr Getrude Rwakatare, amewatoa wafungwa 12 waliokuwa wamefungwa kwenye gereza la Keko jijini Dar es Salaam huku lengo ni kuwatoa wafungwa 78...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli ateua Makatibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa na Mara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 09 Septemba, 2016 amemteua Bw. Ado Steven Mapunda kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara.Bw. Ado Steven Mapunda anachukua nafasi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOJIRI KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

Waziri wa Habari, Utaamduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (MB) akiwaeleza jambo Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini Mhe. Peter Msigwa (Katikati)na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Mhe. George...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Happy birthday mtu wangu wa nguvu @_donnyrowland mungu akuongoze ufikie...

Happy birthday mtu wangu wa nguvu @_donnyrowland@_donnyrowland mungu akuongoze ufikie malengo yako #sawayafamily#sawayafamily

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Happy birthday mrembo wa nguvuu @__swizysawaya mungu akuongozeeee kwa kila...

Happy birthday mrembo wa nguvuu @__swizysawaya@__swizysawaya naye kazaliwa leo nisaidien kum wish @__swizysawaya#sawayafamily#sawayafamily mungu akuongozeeee kwa kila jambo

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERA SANA JULIETH USIKU WAKO ULIKUA WA KIPEKEE

 Hngera sana julieth kwa hatua uliyofikia mda sio mrefu utakua kwa mumewe Umenogaa sanaaaKama kawaida kati nipo mwenyewee  Semaaa cheniiiiiiiiiiiiTeam Efc ndani Efc full kunogaaaa Wageni waalikwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtangazaji wa Clouds Tv ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Wilaya

Leo Septemba 10, Rais Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya 11, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji 1 na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa 1 ili kujaza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongera sanà rosemary kwa hatua hii

 Hongera sanà rosemary kwa hatua hii Mungu azidi kukufungulia milango ya kheri Mc kazini Wageni waalikwa walipendeza

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>