Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya Kuacha Muziki, Mzee Yusufu Kuanza na Hili

Mfalme wa muziki wa taarabu nchini, Mzee Yusufu, ameondoka nchini leo Agosti 31, 2016 kwenda kuhij Makkah ili kutimiza moja kati ya nguzo kuu za dini yake ya Kiislam.Mzee kabla hajakwea pipa, eNewz...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Atoa ONYO Kwa Walioficha Mabilioni ya Pesa Nyumbani, Atishia...

Rais John Magufuli amewataka watu walioficha fedha majumbani kuziachia ziingie kwenye mzunguko vinginevyo anaweza kuamua kuzibadili ili wakose mahali pa kuzipeleka. Amesema watu hao wamekuwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Awasili Pemba Kwa Ziara Ya Kikazi Ya Siku Mbili

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Asubuhi ya leo tarehe 02 Septemba, 2016 amewasili Kisiwani Pemba ambapo majira ya Alasiri anatarajiwa kuzungumza na wananchi wa Pemba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUBWA FELLA AZIWEKA HADHARANI NYUMBA TANO ZA KIKUNDI CHA YAMOTO BAND

Nyumba za Wasanii wa Yamoto Band zikionekana kwa muonekano wa nje.Mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanawe, Saidi Fella akikagua kwa ndani nyumba za wasanii hao zilizojengwa nje ya mji Eneo la Mbande...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongera sana Caro kwa hatua uliyoianza muda si mwingi utakuwa kwa mumeo

 Hongera sana Caro  Bi harusi wetu mtarajiwa caro akiingia ukumbiniHongera sana Caro  Mc dr cheni kazini nikiwajibika Mc dr cheni akiendelea  kuwajibikaChampagne ikifunguliwa Duh si kwa miuno...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndoa Yamfanya Mwana FA Kuacha Kufanya Mambo Haya

MAPEMA mwezi Juni, mkongwe kwenye gemu la Muziki Bongo, ambaye pia ni staa wa Wimbo wa Bado Nipo Nipo, Hamisi Mwinjuma aliuaga ukapera baada ya kufunga ndoa na mzazi mwenzake ambaye ni akauntanti,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatimaye Shamsa Ford Afunga Ndoa na Chidi Mapenzi

STAA wa Bongo filamu nchini, Shamsa Ford amefunga ndoa na Rashidi Said ‘Chidi Mapenzi’ ambaye ni mfanyabiashara wa maduka ya nguo.Sherehe za ndoa hiyo zilifanyika nyumbani kwa wazazi wa Shamsa eneo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA VIDEO YA HARUSI YA SHAMSA FORD ILIVYONOGAA

 

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tazama Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha tano Awamu...

Ofisi ya Rais -TAMISEMI inatangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano awamu ya Pili (Second Selection) kwa mwaka 2016. BOFYA HAPA KUONA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Azuru Kaburi La Marehemu Sheikh Abeid Amani Karume, Aweka Shada...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 03 Septemba, 2016 ameendelea na ziara yake Visiwani Zanzibar ambapo majira ya Asubuhi amezuru Kaburi la Rais wa Kwanza wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli: Kuchezea amani ni kucheza mchezo usioweza kuucheza

Rais Dkt John Magufuli amewataka wananchi kisiwani Pemba kuondoa tofauti zao za kiitikadi na kushirikiana katika kuijenga Pemba yenye amani, umoja, maendeleo ya kuichumi na ustawi wa jamii.Ameyasema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongera sana Win Usiku wako ulinogaa sanaa

Hongera sana Win umenoga Sana Mtarajiwa anatakiwa awe happy muda woteee Akimvisha saa mtarajiwa wakeBwana harusi mtarajiwa na waalikwa Mc nikiendelea na ki yangu ya kusherehesha Mc ktk pozi Si kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Azungumzia Tukio la Maalim Seif kukataa mkono wa Rais Shein

Rais John Magufuli amemshangaa Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kwa kuidhinisha fedha za matibabu ya mpinzani wake wa kisiasa, Maalim Seif Sharif Hamad wakati alikataa kumpa mkono wa salamu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 6

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli aahidi kulinda Muungano na kudumisha amani.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewahakikishia wananchi wa Zanzibar kuwa atasimamia kwa nguvu zote masuala yote yanayohusu maendeleo, kudumisha Muungano wa Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Christian Bella Afungukia Changamoto Aliyoipata Kwenye Kazi ya Fid Q

Msanii nguli wa kuimba mwenye asili ya Kongo na makazi yake hapa Bongo,Christian Bella , amesema amepata shida sana kwenye kurekodi wimbo wa msanii wa Hip Hop Fid Q, kutokana na ugumu wa mashairi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtandao hatari wa Majambazi Wanaswa Dar es Salaam

Watu watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wanadaiwa kukamatwa na polisi wakiwa na zana mbalimbali ambazo hutumiwa na vyombo vya ulinzi zikiwamo silaha za vita na sare za polisi.Vitu hivyo vinadaiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongera sana mr and Mrs Hassan Marijan Harusi yenu ilinogaa sanaaa

Hongera sana mr and Mrs Hassan marijan  Hongera sana Christian Bella kwa kazi nzuri ya harusi ya janaChristian Bella na maharus wetuNafurahia nikifanyacho hata mtu akiona kibaya ila kwakuwa nafsi yangu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Steve Nyerere Atangaza Kuoa Januari

Msanii mkongwe wa filamu Steve Nyerere aliwasurprise baadhi ya wasanii wenzake wa filamu katika harusi ya Shamsa Ford baada ya kutangaza anaoa mwezi januari mwakani.Akitoa neno kwa niaba ya wasanii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA PICHA MPYA AMBAZO HUKUZIONA ZA HARUSI YA SHAMSA FORD

Beautiful and talented Tanzanian actress Shamsa Ford got married last Friday, she looked gorgeous and she also got great support from fellow celebrities. Here are official wedding pics of the screen...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>