Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2428

Bi Hindu: Wasanii wa filamu hatupendani

$
0
0
Msanii mkongwe wa filamu nchini Bi Hindu amefunguka kwa kusema kuwa wasanii wa tasnia hiyo nchini hawapendani.
14583278_1740304576220890_4196018404915675136_n
Muigizaji huyo ambaye pia ni mtangazaji wa kipindi cha Uhondo cha EFM, amekiambia kipindi hicho kuwa wasanii wengi hawapendani na wamekuwa wakichukia mafanikio ya wenzao.
“Wasanii wa Bongo movie hatupendani, tupunguze roho mbaya. Wenzetu wakitaka kufanya kitu tuwape ushirikiano,” amesema Bi Hindu.
Mkongwe huyo wa filamu aliongeza kwa kutania kwa kusema kuwa na yeye akipata jina basi watamkoma.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 2428

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>