Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Christian Bella: Sina shobo na collabo za kimataifa

King of Best Melodies CHRISTIAN BELLA amefunguka kuwa hana shobo na collabo za kimataifa.“Kuna idea ambazo nazifanyia process, lakini bado zijaanza process yoyote kuhusu collabo ya kimataifa. Na mimi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hamisa Mobetto: Team zimechangia tukose tuzo ya MTV MAMA

Hamisa Mobetto amefunguka sababu ya wasanii wa Bongo Fleva kutofanya vizuri kwenye tuzo za MTV MAMA zilizofanyika Jumamosi ya Oktoba 22 mjini Johannesburg, Afrika Kusini.Akiongea na mtangazaji wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rafiki wa Mashali aeleza alichozungumza na Mashali wakati yupo hospitali

Rafiki wa karibu wa marehemu Thomas Mashali aliyejitambulisha kwa jina la Ally amesimulia mkasa mzima wa kifo cha rafiki yake huyo.Ally alisimulia mkasa wa rafiki yake huyo akiwa msibani maeneo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli ampongeza Rais Kenyatta kwa ujenzi wa barabara ya kisasa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. Uhuru Kenyatta wamezindua barabara ya Southern Bypass huku Rais Magufuli akisema wananchi wanahitaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Arejea Nyumbani Baada Ya Ziara Ya Kiserikali Ya Siku Mbili...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akitelemka kwenye ndege baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nairobi,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BONDIA THOMAS MASHALI KUAGAWA LEO LEADERS,KUZIKWA KINONDONI

 MWILI wa bondia wa ndondi za kulipwa nchini, Thomas Mashali aliyeuawa Kimara jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia Jumatatu, utazikwa leo kwenye makaburi ya Kinondoni. Baba mzazi wa marehemu,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bi Hindu: Wasanii wa filamu hatupendani

Msanii mkongwe wa filamu nchini Bi Hindu amefunguka kwa kusema kuwa wasanii wa tasnia hiyo nchini hawapendani.Muigizaji huyo ambaye pia ni mtangazaji wa kipindi cha Uhondo cha EFM, amekiambia kipindi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr Cheni Aachana na Bongo Movie Kwasasa, Hii Ndiyo Sababu

Staa mkongwe wa Bongo Movie, Dr Cheni  amefunga kuwa kwasasa hata cheza tena filamu hadi pale serikali itakapo hakikisha kuwa filamu zao zinalindwa dhidi ya wizi wa kazi zao.Akiongea na Enews ya EATV,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rose Ndauka adai kuvunjika kwa ndoa ni tatizo la kijamii na sio la wasanii wa...

Malkia wa filamu Rose Ndauka amewataka watanzania kujua kuvunjika kwa ndoa sio tatizo la wasanii wa filamu pekee bali ni tatizo la jamii nzima.Mwigizaji huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja aitwae,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tazama Video kujua Kuhusu Msichana Aliyebakwa Hadi Kufa – Makumira University

Mapema jana zimesambaa Picha kwenye Mitandao ya kijamii ikimuonyesha Msichana anayefahamika kwa jina la JULIANA ISAWAFO Ambaye Amebakwa hadi Kufa na Kutupwa Nje ya eneo la Chuo Kikuu cha Tumaini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHOJIANO YA KWANZA YA RAIS MAGUFULI NA WAHARIRI IKULU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kesi ya kwanza yaanza Kusikilizwa Mahakama ya Mafisadi Dar

Hatimaye Mahakama Kuu Kitengo cha Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi maarufu kama Mahakama ya Ufisadi imeanza rasmi usikilizaji wa kesi jana.Kesi ya kwanza kutua na kusikilizwa na Mahakama hiyo ambayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIBONZO VYA LEO VILIVYOBAMBA MTANDAONI

BOFYA HAPA LEWIS MBONDE BLOG KUONA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVE: Tazama mkutano wa Rais Magufuli na waandishi wa habari Ikulu, Dar

Rais John Magufuli anafanya mkutano na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini. Lewis Mbonde Blog imekuwekea matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu, Dar es Salaam.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA ZA JESHI LA POLISI KUHUSU KIFO CHA THOMASI MASHALI,WATUHUMIWA WAKAMATWA

 TV inae kamishna wa kanda maalum ya Dar es salaam Simon Sirro akiongelea kuhusu waliomuua bondia maarufu wa Tanzania Thomas Mashali aliyezikwa juzi Kinondoni Dar es salaam.Sirro amesema ‘Thomas...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongera Sana Rose kwa hatua hii

  hongera sana rose For Booking Please Call Mc Dr CheniVODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERA SANA JASMINE KWA HATUA HII

For Booking Please Call Mc Dr CheniVODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Vipi unakazi za Picture Kwenye jambo lolote muone huyu @binti_photography@binti_photographyPICHA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERA SANA NEEMA USIKU WAKO ULINOGAA SANAA

 Hongera sana Neema ulinogaa sanaaFor Booking Please Call Mc Dr CheniVODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Mc nikiwa na bi harusi mtarajiwa Neema @djchichi na @mczipompa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA UMATI WA WATU WAKIINGIA VIWANJA VYA LEADERS KWENYE FIESTA 2016

BONYEZA HAPA LEWIS MBONDE BLOG KUONA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Said Fella akanusha taarifa zinazodai kuwa yeye ndie amechangia kuua Jahazi...

Meneja wa kundi la Yamoto Band, Said Fella amefunguka na kusema yeye si sababu ya kuvunjika kwa Band ya Jahazi Modern Taarab ambayo ilikuwa BOFYA LEWIS MBONDE BLOG KUSOMA ZAIDI

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>