Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2428

Picha:Spika Mstaafu Samuel Sitta azikwa Leo Urambo Tabora

$
0
0
November 12 2016 yamefanyika mazishi ya Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samuel John Sitta aliyefariki dunia November 7 2016 katika hospitali ya Technical University of Munich nchini Ujerumani.
Mazishi hayo yamefanyika Urambo Tabora kwenye eneo la makaburi ya ukoo wa Sitta ambayo yapo takribani km 2 kutoka nyumbani kwake.





 Jeneza lililobeba mwili wa Spika mstaafu Samuel Sitta likiwekwa kaburini






 Mazishi ya Spika mstaafu Samuel Sitta ambaye anazikwa katika makaburi ya familia ya ukoo wa Sitta, Urambo Tabora






 Safari ya kuelekea eneo la makaburi ambapo mwili wa Spika Mstaafu Samuel Sitta utazikwa






 Waziri Nape Nnauye akiongea machache wakati wa kuuaga mwili wa Samuel Sitta Urambo Tabora






 Ibada ya kumuombea Mzee Sitta imeanza muda huu viwanja vya shule ya msingi Urambo, mazishi yatafanyika majira ya saa nane

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2428

Trending Articles