Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makonda asema alisomeshwa chuo na Marehemu Sitta baada ya kuacha kufuatia...

Bila marehemu Samuel Sitta, Paul Makonda asingekuwa hapo alipo leo hadi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam.Akizungumza Ijumaa hii kwenye shughuli za kutoa heshima za mwisho kwa spika huyo wa zamani wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MC KAZINI NIKIWAJIBIKA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongera Mr and Mrs Rajabu

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli aongoza mamia ya Watanzania kuaga mwili wa Samuel Sitta

Mwili wa aliyekuwa spika wa bunge la Tanzania, Samuel Sitta umeagwa katika viwanja vya Karimjee na mamia ya watanzania wakiongozwa na Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais mama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli aruhusiwa hospitali awashukuru madaktari

Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Janeth Magufuli aliyekuwa amelazwa katika wodi ya Sewahaji ya Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam ameruhusiwa na kurejea nyumbani leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOA ODA YAKO SASA KAMA UNANIHITAJI NIWE MC KATKA SHEREHE YAKO

For Booking Please Call Mc Dr CheniVODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMIGO ASEMA WASANII 15 WAIKIMBIA JAHAZI MODERN TAARAB, KISA HIKI

Msanii wa Jahazi Morden Taarabu Amigo Prince amesema baada ya maamuuzi ya Mzee Yusuph kuachana na muziki na kumrudia Mungu wasanii 15 akiwemo Khadija Yusuph wameihama bendi. AmigoAkipiga story ndani ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Christian Bella: Namsikiliza kila msanii Bongo, sichagui

King of the best melody Christian Bella amesema hachagui msanii wa kumsikiliza kwenye muziki hapa Bongo huwa anasikiliza kila wimbo wa msanii ulioimbwa vizuri.Muimbaji huyo ameiambia Stori Tatu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe: Marehemu Samweli Sitta Amenilea kwa Kunisomesha

Alfajiri ya tarehe 7 Novemba 2016, tunaamka na kukutana na habari za kusikitisha kuwa Mzee Samwel John Sitta, Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametangulia mbele ya haki. Babu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndugai alimwagia sifa Bunge la 9 lililoongozwa na Marehemu Sitta

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai,amekiri kwa kinywa chake kulisifia bunge la tisa lililokuwa likiongozwa na spika mstaafu, marehemu Samuel Sitta huku akisema lilikuwa ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gabo Zigamba: Hakuna Wanawake Wakuoa Siku hizi

Msanii wa filamu ambaye anafanya vizuri na filamu ya ‘Safari ya Gwalu’ Gabo Zigamba amefunguka kwa kusema kuwa siku hizi hakuna wanawake wakuoa.Mwigizaji huyo ambaye anapewa nafasi kubwa yakufanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Martin Kadinda: Diamond Hakukosea Mavazi Kwenye video ya ‘Salome’

Mbunifu wa mavazi nchini, Martin Kadinda amefunguka kwa kusema kuwa Diamond hakukosea kuvaa mavazi aliyovaa kwenye video yake ya wimbo ‘Salome’ baada ya watu katika mitandao ya kijamii kudai mavazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha:Spika Mstaafu Samuel Sitta azikwa Leo Urambo Tabora

November 12 2016 yamefanyika mazishi ya Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samuel John Sitta aliyefariki dunia November 7 2016 katika hospitali ya Technical University of Munich...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKARI POLISI AJIUA KWA KUJIPIGA RISASI AKIWA LINDONI

Ni hawa askari wapya waliotoka depo Namba J, watu wanasema saa nyingine alikuwa na matatizo. Inauma sana, inakuaje Askari ajiue mwenyewe?Lakini kilichonishitua zaidi ni sijaona damu sehemu alipolazwa....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nilipumzika Muziki Kula Bata – Ommy Dimpoz

Msani Ommy Dimpoz amesahihisha mashabiki walipokuwa wakisema msanii huyo kafulia baada ya kukaa kimya muda mrefu kwenye game, na kusema aliamu tu kupumizka kwa muda na si kama alifulia.Ommy Dimpoz...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Jumapili ya Novemba 13,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Mazishi ya Spika Mstaafu Samwel Sitta

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary wakitoa heshima za mwisho kwa Spika Mstaafu, marehemu Samuel Sitta kabla ya mazishi yake yaliyofanyika jana Urambo mkoani Tabora Spika wa Bunge la Jamhuri ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Trump kuwatimua wahamiaji haramu milioni 3 kutoka Marekani

Wasiyemtaka ameingia ikulu ya Marekani na kama walikuwa wakidhani vitisho alivyokuwa akivitoa wakati wa kampeni vilikuwa ni mkwara tu, wanapaswa kujipanga upya!Ni kwasababu Rais Mteule wa nchi hiyo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yasema haijui idadi ya Watanzania watakaotimuliwa na Trump Marekani

Serikali imesema kuna Watanzania wengi wanaoishi Marekani kinyume cha sheria, lakini haijui idadi yao wakati Rais mteule wa nchi hiyo, Donald Trump akisubiriwa kutekeleza ahadi yake ya kutimua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wadaiwa Sugu Bodi ya Mikopo wapewa siku 30

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa bodi hiyo Abdul-Razaq Badru amesema kuwa hadi sasa kuna jumla ya wadaiwa sugu 142,470 wenye mikopo ya shilingi...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>