

Usiku wa August 26, 2017 Mliman City Dar es salaam kulikua na uzinduzi wa movie mpya ya Wema Sepetu na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo mastaa wa Bongo kama Aunty Ezekiel, Haruna Niyonzima na Idris Sultan.

Haruna Niyonzima

Mrembo Joan


Aunty Ezekiel

Mama Wema







Daxx na Feza Kessy wakihojiwa na Watangazaji wa CloudsTV

Miss Tanzania aliepita Lilian Kamazima akihojiwa na The Storm ya CloudsTV