Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma ambaye yupo nchini India kwa matibabu amebandika picha hizi kwenye ukursa wake mtandaoni akiwa anafanya mazoezi ya kutembea kama anavyonekana hapo chini.
![wastara354](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2016/01/wastara354.jpg)
Training zinapoamia barabrani india lazima uisome number kuna mawili Maskio kuziba kwa honi za magari na pikipik au kuludi umepigwa pasi za mwili-Wastara