Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yalifungia Milele Gazeti la Mawio

Serikali kupitia Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nauye, imelifungia kwa muda wote gazeti la kila wiki la MAWIO linalochapishwa na kampuni ya Victoria Media Services...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kiwanda cha Sukari cha Mtibwa Chapigwa Faini Ya Milioni 50

Serikali imetoa siku saba kwa kiwanda cha sukari cha Mtibwa kulipa faini ya shilingi milioni 50 baada ya kudaiwa kukiuka sheria za mazingira.BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Tanzania Jumapili Ya Januari 17, 2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEND OFF YA MUMINA ILIFANA SANA CHINI YA MC DR CHENI

 Mc Dr Cheni akiwa katika picha ya pamoja na bi harusi mtarajiwa pamoja na kaka yakeMc Dr Cheni akiwa kaziniFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Tanzania Leo Jumanne Ya Januari 19, 2016

  BONYEZA HAPA KUSOMA MAGAZETI MENGINE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MC DR CHENI ALIIFANYA HARUSI YA ABDALLAH NA MUMINA KUWA YA KIPEKEE

 Mc Dr Cheni katika picha ya pamoja na maharusi wetu Abdallah na Mumina Mc Dr Cheni On the stage akisherehesha mwanzo mwishoMaharusi wetu wakigonga cheersFor Booking Please Call Mc Dr Cheni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamke Akutwa Kwenye Paa La Jengo La Wizara Ya Fedha Na Mipango Jijini Dar...

Manamke ambaye jina lake halikupatikana mara moja akiwa amekaa juu ya paa la majengo ya Wizara ya Fedha na Mipango jijini Dar es Salaam leo.Mwanamke huyo akizungumza na watu waliokusanyika lakini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Tanzania Leo Jumatano Ya Januari 20, 2016

   BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Atiwa Mbaroni Akituhumiwa Kumpa Ujauzito Dada Yake wa Miaka 14

POLISI wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa inamshikilia mkazi wa kijiji cha Ulinji, Manispaa ya Sumbawanga mwenye umri wa miaka 28 akituhumiwa kumpatia ujauzito dada yake mwenye umri wa miaka 14 anayesoma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ofisi ya Kamishna Mkuu TRA Yavunjwa, Kompyuta Mbili Zaibiwa

Watu wasiojulikana  wamevamia  na  kuvunja  ofisi  ya  kamishna Mkuu wa Mamlaka  ya  Mapato  Tanzania (TRA) na kuiba kompyuta  na  vifaa vingine.Habari tulizozipata ambazo zimethibitishwa  na Polisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu Ya Januari 25, 2016

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu Ya Januari 25, Ikiwemo Vita ya Madaraka ya Bunge yakolea

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Wastara Akifanya Mazoezi Nchini India

Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma ambaye yupo  nchini India kwa matibabu amebandika picha hizi kwenye ukursa wake mtandaoni akiwa anafanya mazoezi ya kutembea kama anavyonekana hapo chini.Training...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Jumatano Ya Januari 27,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Usiku mzuri wa Send Off ya Vicky Ulifana sana

 Mc Dr Cheni on the staje akisherehesha kwa umakini sanaVicky akiwa na mumewe mtarajiwaFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serekali Yatangaza Kusitisha Matangazo ya Bunge Laivu Kuanzia Jana..Sababu...

 Serikali yatangaza leo Bungeni kuwa kuanzia tarehe 26 Januari 2016 TBC imesitisha kuonyesha baadhi ya matangazo ya moja kwa moja ya shughuli za Bunge, kutokana na bajeti finyu.Baada ya tamko hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL NOW +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE...

             BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)..............................  60,000/=              BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)..................... 45,000/=              ADSENSE (BLOGGER...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Amuua Mwenzake Kwa Kipigo Baada ya Kumkuta Akimtongoza Dada Yake

Mkazi wa kijiji cha Kalovya – Inyonga wilayani Mlele, Ramadhani Ally (20) amefariki dunia akipatiwa matibabu hospitalini baada kupigwa na kijana mwenzake.Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Tanzania Leo Alhamisi Ya Januari 28, 2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Azikwa Kaburini na Kreti za Bia na Soda Kahama

Wakati serikali ikipigia kelele kukemea imani za kishirikina, wilayani Kahama bado ni kitendawili baada ya mkazi mmoja wa Kijiji cha Mwamande, Kata ya Mwanase katika Halmashauri ya Msalala kufariki na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ali Kiba: Cindelela ilipo’Hit’ Ndoto za Kuwa Mchezaji Mpira Maarufu zilikufa

Ali Kiba UwanjaniAli kiba tangu akiwa mdogo alikuwa na ndoto za kuwa mchezaji mpira maarufu Bongo na mpira alikuwa anauweza hasa mpaka kutaka kusajiliwa na timu moja kubwa..Kiba amefunguka kwanini...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>