Kutorushwa Kwa Bunge Live kupo Pale Pale- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu MajaliwaMajaliwa ameyasema hayo alipokuwa akijibu swali la papo kwa papo la Mbunge wa Hai ambaye pia ni msemaji wa kambi ya upinzani Bungeni Freeman Mbowe aliyetaka kujua kwanini serikali...
View ArticleBreaking News: Kimenuka Tena Bungeni..Upinzani Watoka nje Baada ya Kunyimwa...
BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI
View ArticleWatu 30 Wameokolewa Baada ya Kivuko cha Kilombero Kupinduka Jana...
Watu wapatao 30 wameokolewa mpaka sasa baada ya kivuko cha mto Kilombero kushindwa kuhimili upepo mkali ulioambatana na mvua ya radi na kukifanya kigonge nguzo za pembeni ya mto na kukosa mwelekeo...
View ArticleKAMA UNAHITAJI MC WA SHEREHE MC DR CHENI NI CHAGUO SAHIHI KWA SHEREHE YAKO
Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Lewis Mbonde
View ArticleBunge: Hatutazuia Tv Binafsi Kurusha Live Matangazo ya Bunge
Wakati Bunge likieleza kuwa haliwezi kuzuia vituo vya televisheni nchini kuonyesha moja kwa moja matangazo ya shughuli za vikao vya Bunge, Serikali imetoa sababu tatu za Shirika la Utangazaji Tanzania...
View ArticleHarusi ya Mr and Mrs Abel Ilikua ya furaha chini ya MC DR CHENI
Mr and Mrs Abel Nipo tayari kukuhudumia popoteFor Booking Please Call Mc Dr Cheni TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194Mambo yalikuwa...
View ArticleCALL NOW +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE...
SERVICES WE OFFERED BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)............................ 60,000/= BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG).................... 45,000/=...
View ArticleMajangili Waitungua Helkopta na Kumuua Rubani Capt. Roger Katika Ranchi ya...
Watu wanaodaiwa kuwa ni majangili na wawindaji haramu wameitungua kwa risasi helkopta ya doria ya wanyamapori katika pori la akiba la maswa lililoko wilaya ya Meatu mkoani Simiyu kusini mwa hifadhi ya...
View ArticleRais Magufuli Amuongezea Mwaka Mmoja Mkuu wa Majeshi Jenerali David...
RAIS John Magufuli amemwongeza muda wa mwaka mmoja Mkuu wa majeshi ya ulinzi nchini,Jenerali David Mwamunyange, ambaye alitakiwa kustaafu leo baada ya kutimiza umri kwa mujibu wa katiba na...
View ArticleMpoto Asimulia Alivyonusurika Kipondo Kutoka kwa Wabongo wa UK
Msanii wa muziki wa asili nchini, Mrisho Mpoto ameeleza jinsi alivyochezewa faulo na waandaji wa onesho lake nchini Uingereza kwa kuanza kutambulisha onesho lake jukwaani kwa kucheza wimbo wa Taifa wa...
View ArticleUsiku wa Anna kaaya Ulipendeza Sana Chini ya Mc Dr Cheni
Shamra shamra za usiku wa Anna kaaya akiingia ukumbini Mc Dr Cheni akiifanya kazi yake ipasavyo wakati wageni waalikwa wakimshangilia bi harusi mtarajiwa Anna Kaaya Bi harusi mtarajiwa akitoa neno kwa...
View ArticleUsiku wa Mr and Mrs Emmanuel Ulifana sana Moshi Chini ya Mc Dr Cheni
Maharusi wetu Emmanuel na Martha wamepemdeza Sana Maharusi wetu wakiingia ukumbini Mc Dr Cheni akiwajibika kama unavyoniona pichaniFor Booking Please Call Mc Dr Cheni TIGO : +255 713 620...
View ArticleJinsi Rubani Rodgers Gower Alivyouawa Na Majangili
Siku moja baada ya kifo cha rubani Rodgers Gower (37) aliyekuwa anaendesha helikopta inayomilikiwa na Mwiba Holdings, baadhi vyombo vya habari vya kimataifa vimeripoti kuwa huenda bunduki iliyomuua ni...
View ArticleDr. Shein Azindua Miaka 39 ya Kuzaliwa CCM.....Asisitiza Chama Chake Kiko...
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema chama hicho kipo tayari kwa uchaguzi wa marudio Machi 20 kwa lengo la kuhakikisha kinashika dola na waliochukua uamuzi wa kususa ni...
View ArticleUsiku wa Miriam Ulimetameta Sana Chini ya Mc Dr Cheni
Mc Dr Cheni na maharusi watarajiwa Miriam na Mume wake mtarajiwa Bi harusi mtarajiwa akiingia Mc Dr Cheni kazini akihakikisha kila kitu kinaenda sawaFor Booking Please Call Mc Dr Cheni TIGO :...
View Article