Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2428

JB Atembelea Kituo cha Kulelea Watoto Yatima

$
0
0
Staa mkongwe wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ mwishoni mwa mwaka uliyopita alitembelea kituo cha Watoto Yatima cha Msimbazi Centre kilichopo Ilala na kutoa zawadi kwa watoto wa kituo hicho kinachomilikiwa na Kanisa Katoliki msanii huyo amesema anasikia faraja kuwatembelea watoto hao.
Jb-Almas na Hindu
JB pia alitumia nafasi hiyo kwa kuongea na uongozi wa kituo hicho kisha kuwatambulisha wasanii walioshiriki katika filamu ya Chungu cha Tatu ambayo imeingia leo sokoni na aliongozana nao walikuwa ni Patcho Mwamba, Bi. Hindu, Mau Fundi, Steven Almas.
Jionee Video za tukio zima



Viewing all articles
Browse latest Browse all 2428

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>