Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2428

Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Kuchaguliwa leo

$
0
0
Uchaguzi (6)Wasanii wakiandikisha majina baada ya kuwasili ukumbini.Uchaguzi (3)Wasanii wa Bongo movie wakisubiri kuanza mchakato wa kumchagua rais wa Shirikisho la Filamu nchini.Uchaguzi (5)Uchaguzi (4)Ukumbi ulivyoandaliwa kwa ajili ya shughuli hiyoUchaguzi (2)Vyumba vya kupigia kura.
LEO ndiyo kwenye tasnia ya filamu hapa nchini. Rais, makamu na wajumbe wanaounda Shirikisho la Filamu Tanzania watapatikana leo kwa uchaguzi uaofanyika katika Ukumbi wa Urafiki uliyopo Ubungo jijini Dar es Salaam.
Pichani juu ni maandalizi yanavyoonekana ndani ya ukumbi amabao utatumika kufanyia uchaguzi huo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2428

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>