Usiku wa Nelson na Magreth Ulifana Sana Chini ya Mc Dr Cheni
Maharusi wetu Nelson na Magreth katika nyuso za furaha Mc Dr Cheni akisherehesha kwa umakiniFor Booking Please Call Mc Dr Cheni TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis...
View ArticleMagazeti Ya Tanzania Leo Jumatano Ya Februari 24, 2016
BONYEZA HAPA KUSOMA MAGAZETI MENGINE
View ArticleNECTA Yasitisha Kugawa vyeti kwa Wahitimu wa Kidato cha Sita 2015...
Baraza la Taifa la Mitihani (Necta), limeagiza kusitishwa kwa ugawaji wa vyeti vya kidato cha sita kwa wanafunzi waliohitimu mwaka 2015, huku vile vilivyokwisha gawanywa kwa watahiniwa hao vikitakiwa...
View ArticleRay C Alia na Ugumu wa Maisha.....Aeleza mtindo anaotumia kupanda daladala...
Ray C ameweka wazi kuwa yuko taabani kiuchumi, hali inayompelekea kukosa hata pesa ya usafiri wa kwenda hospitali kupata dozi ya tiba ya maradhi yanayomkabili kutokana na kuathirika na matumizi ya dawa...
View ArticleMtoto wa Miaka Mitatu Abakwa Na Kunyongwa Hadi Kufa
Mtoto mwenye umri wa miaka 3 na miezi 4 Mariam Deogratius mwanafunzi wa shule ya awali ya BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI
View ArticleBandari ya Dar es Salaam yafunga Kamera 486 Kudhibiti Wizi
Zikiwa zimepita siku chache tangu waziri mkuu Mh Kassim Majaliwa kufanya ziara ya kushtukiza bandari ya Dar es Salaam na kubaini uozo wa kuchepushwa BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI
View ArticleNaibu Spika Dk. Tulia Ackson Anusurika Kifo Baada Ya Kupata Ajali
NAIBU Spika Dk. Tulia Mwansasu, amepata ajali mkoani Mbeya alikokwenda kwa ajili ya mapumziko. Kwa mujibu wa Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Zainab Mbussi, Dk. Tulia alipata ajali hiyo jana wakati akitokea...
View ArticleMwakifamba, Kipemba Kugombea Urais TAFF
KAMATI ya Uchaguzi wa viongozi wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), imetangaza majina ya watakaogombea katika uchaguzi utakaofanyika katika Ukumbi wa Urafiki, Ubungo, Februari 20 mwaka...
View ArticleMwanafunzi Wa Kidato Cha Tatu Ajinyonga
Mwanafunzi wa Kidato cha Tatu katika Shule ya Sekondari Nyanungu Tarafa ya Ingwe wilayani Tarime mkoani Mara, Charles Chacha (19), amekutwa amejinyonga chumbani kwake kwa kutumia kamba ya katani.Diwani...
View ArticleRais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Kuchaguliwa leo
Wasanii wakiandikisha majina baada ya kuwasili ukumbini.Wasanii wa Bongo movie wakisubiri kuanza mchakato wa kumchagua rais wa Shirikisho la Filamu nchini.Ukumbi ulivyoandaliwa kwa ajili ya shughuli...
View ArticleMagazeti Ya TANZANIA Ijumaa Ya Leo Februari 26, 2016
BONYEZA HAPA KUSOMA MAGAZETI MENGINE
View ArticleRais Uhuru Kenyatta wa Kenya Awaponda Wakenya..Adai ni Wezi Wasio Taka...
President Uhuru Kenyatta’s frustration with high level of plunder in his government seems to have gotten to his nerves.The President disrobed himself of all diplomatic decency and brazenly referred to...
View ArticleRais Magufuli aagiza mawaziri wasiolejesha hati za tamko la mali na ahadi ya...
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli amesema mawaziri ambao hawajajaza Tamko la Rasilimali na BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI
View ArticleRay Atakiwa Awe Balozi wa Maji
BAADA ya mwigizaji mashuhuri katika filamu, Vicent Kigosi ‘Ray’ kudai weupe wake unatokana na kunywa maji mengi na kufanya mazoezi na siyo mkorogo, makampuni manne yanayojishughulisha na masuala ya...
View ArticleCALL NOW +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE...
BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)...................................50,000/=BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)........................25,000/=ADSENSE (BLOGGERS UJIPATIE...
View ArticleNay wa Mitego Adai Muziki wa Sasa ni ‘Ujanja Ujanja’ Sio Uwezo
Msanii wa muziki wa Hip Hop, Nay wa Mitego amesema muziki wa sasa hivi ukileta ufundi na kujifanya unaweza sana kuchana na kuandika hautafika popote.Nay wa Mitego amedai ili kwenda kibiashara msanii...
View ArticleBreaking News: TCU Yakifuta Chuo Kikuu cha St. Joseph Kampasi ya...
1.Tunapenda kuuarifu umma kwamba, Chuo Kikuu cha Mt. Yosefu Tanzania (SJUIT) Kampasi ya Arusha ni mojawapo ya vyuo vikuu vilivyosajiliwa na Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) ambacho kilianza kudahili...
View ArticleOrodha Ya Majina ya Wanafunzi wa St. Joseph Kampasi ya Songea Waliohamishiwa...
The Tanzania Commission for Universities (TCU) wishes to inform the general public and particularly students, who were undertaking their studies at St Joseph University College of Agricultural Sciences...
View ArticleMawaziri Wote Waliopewa Hadi Leo Jioni Kujaza Na Kurejesha Tamko La Mali Na...
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema agizo lilitolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli la kuwataka mawaziri ambao hawajajaza Tamko la Rasilimali na Madeni wakamilishe...
View Article