WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua hospitali ya rufaa ya mkoa wa Kagera na kumpa siku tano Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa huo, Bw. Adam Swai amletee taarifa juu matumizi ya sh. Milioni 80 ambazo ni fedha za UKIMWI.
↧
Waziri Mkuu Ampa RAS Kagera Siku 5 Ampeleke Taarifa Za Matumizi Ya Milioni 120 Za Hospitali Ya Mkoa
↧