Jeshi la Polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga limefanikiwa kuuwa Majambazi watatu yaliokuwa yamevami duka la mtu mmoja anayejulikana kwa jina la Emmanuel Mukumbo na kumuua kwa risasi ambapo majambazi hayo yalianza kujibizana risasi na Polisi baada ya raia wema kuijulisha polisi na kufika katika eneo la tukio.
↧