Quantcast
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli apigilia msumari Sakata la Madawa ya Kulevya......Ataka Polisi...

Rais Magufuli ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuwakamata wanaohusika na Dawa za Kulevya bila kuangalia umaarufu au cheo cha mtu.Magufuli ameyasema hayo leo alipokuwa akizungumza  mara  baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongera Sana Zainab kissoky usiku wako ulikua wa kipekee

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haya Hapa Maamuzi ya Mahakama Kuhusu Wasanii Wanaoshtakiwa Kwa Dawa za Kulevya

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo imetoa maamuzi kwa baadhi ya wasanii waliokuwa wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya.BONYEZA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

50 CENT AMKUBALI DIAMOND PLATINUMZ APOST VIDEO YAKE KWENYE SITE YAKE

Check out Tanzanian award winner, Diamond Platnumz new video, ” Marry You” featuring Ne-Yo.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Daktari wa Macho Atoa Ushahidi Mzito ‘Kesi ya Scorpion Mtoboa Macho’.

Shahidi wa nne katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha na kujeruhi inayomkabili Salum Njwete, ameieleza Mahakama kuwa mtu aliyehusika kumtoa macho Said Mrisho alikuwa ni mzoefu wa vitendo hivyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu Kaachiwa Huru Kwa Dhamana ya Sh. Milioni 5

Msanii wa filamu nchini na Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, mchana huu amepandishwa kizimbani kwenye mahamaka ya Kisutu jijini Dar es Salaam.Akisomewa mashtaka na wakili wa serikali Nassoro Katuga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MARRY YOU YA DIAMOND PLATNUMZ YATENGENEZA REKODI HII MPYA ‘VEVO’

Diamond Platnumz amezidi kuendelea kutengeneza rekodi kwenye muziki wake, na hii ni mpya kupitia ngoma yake aliyomshirikisha Ne-Yo kutoka Marekani, “Marry You”.Rekodi hiyo mpya ni kutoka kwenye ‘Marry...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Ijumaa Ya February 10,2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Tanzania Leo Jumamosi ya February 11,2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Alichokisema Baba Diamond Kuhusu Nani Mkali Kati ya Mwanae Diamond na Darasa

BABA wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Abdul Jumaa amefunguka kuwa Mwanamuziki, Shariff Thabeet ‘Darassa’ licha ya watu kusema yupo juu lakini hawezi kumshinda au kufikia levo alizopo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mhubiri Awapa Waumini Dawa ya Kuua Panya

Mhubiri mmoja nchini Afrika Kusini amekuwa akiwapa waumia sumu ya kuua panya kama moja ya njia ya kujaribu imani yao.Light Monyeki, ambaye anaongoza kanisa la Grace Living Hope Ministries mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: 40 ya mtoto wa Diamond yafana

Msanii wa muziki Diamond Platnum Juamosi hii amefanya sherehe ya arobaini ya mwanaye Nillan ambapo kwa mara ya kwanza, mtoto huyo ameoneshwa sura hadharani katika sherehe ya aina yake, iliyofanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Paul Makonda Afunguka Kuitwa na Bunge Kwa Ajili ya Kuhojiwa

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema hawezi kufika mbele ya Kamati ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge kuhojiwa kwa kuwa hajapokea barua ya kuitwa.Makonda jana alisema hatoweza kwenda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO USIYOYAFAHAMU KUHUSU MALKIA ELIZABERT

1. Haitaji leseni ya gari, huendesha bila leseni2.Husafiri bila passport nje ya nchi3.Huwa anasherehekea siku ya kuzaliwa mara mbili, ile ya kweli 21 april na jumamosi ya jullyBONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TID AMEYASEMA HAYA BAADA YA KUMTEMBELA RC MAKONDA NYUMBANI KWAKE

Leo February 11 2017 Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda alimualika nyumbani kwake Masaki mwimbaji maarufu wa Bongofleva T.I.D ambaye siku 3 zilizopita aliachiwa kwa dhamana baada ya kulazwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Tanzania Jumatatu 13/2/2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makonda Kusoma Orodha ya Tatu ya Vinara wa Unga leo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo anatarajia kutaja majina mengine ya vinara wanaotuhumiwa kwenye biashara ya madawa ya kulevya.Katika awamu ya pili, watu mashuhuri wakiwemo Mwenyekiti wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TID Akiri Kutumua Madawa ya Kulevya Mbele ya Makonda,Alia Asemehewe.

Hitmaker wa Zeze, Khalid Mohamed maarufu kama TID, amekiri kuwa mmoja wa mastaa walioathirika na matumizi ya madawa ya kulevya.Akizungumza leo kwenye mkutano ulioandaliwa na mkuu wa mkoa wa Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwa Mara ya Kwanza Toka Atoke Polisi,Wema Sepetu Kayazungumza Haya

Wema Sepetu ametoa shukrani kwa watu wote waliokuwa naye bega kwa bega tangu ashikiliwe rumande kufuatia kutajwa kwenye orodha ya kwanza ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ya watu wanaohusishwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJINA YA MAHAKIMU NA MAJAJI WALIOVURUGA KESI ZA WAUZA UNGA KUTUA KWA JAJI MKUU

Kamishina wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini Rogers Sianga Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiJAJI Mkuu anatarajia  kupokea  orodha ya  majina ya mahakimu na majaji  ambao wamevuga kesi za...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>