Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Swahiba Amtandika Mshale Na Kumuua Rafiki Yake Kisa Deni la Sh, 4,000

Mkazi wa Mtaa wa Kilimahewa katika Halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara, Paul Juma (38), ameuawa kwa kuchomwa mshale na rafiki yake, baada ya kutokea ugomvi kati yao.Inadaiwa ugomvi huo ulitokana na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli awasilisha fomu inayotaja mali na madeni yake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 28 Desemba, 2017 amewasilisha fomu yake ya tamko kuhusu rasilimali na madeni katika ofisi ya Sekretarieti ya Maadili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gabo kufungua mwaka 2018 na tamthilia ya ‘Kapuni’

Msanii wa filamu, Salim Ahmed ‘Gabo Zigamba’ amejipanga kwa ajili ya mwakani kuja kivingine anasema amekuwa akipata maombi mengi na maoni kutoka kwa wapenzi wa kazi zake kuwa mbona haonekani katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAKWATA Yatangaza Mabadiliko....Viongozi Wote Watapatikana kwa Kuteulliwa na...

Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakari Zuberi amesema Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limefanya mabadiliko ya upatikanaji wa viongozi kwa nchi nzima kuanzia ngazi ya Masheikh wa wilaya, mikoa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Ijumaa ya April 6 ,2018

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa zamani wa Korea Kusini amehukumiwa miaka 24 jela

Rais wa zamani wa Korea Kusini  Park Geun-hye, amehukumiwa miaka 24 jela baada ya kukutwa na hatia katika matumizi mabaya ya madaraka na kusababisha nchi kushuka kiuchumi.Park Geun-hye aliondolewa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Zamani Afrika Kusini Jacob Zuma Afikishwa Mahakamani

Aliyekuwa rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amefikishwa mahakamani leo katika mji wa Durban ili kujibu mashtaka ya rushwa, udanganyifu na kujitajirisha kinyume cha sheria. Kesi hii inasikilizwa kwa mara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shilole Achora Tatoo ya Mwisho Yenye Jina la Mumewe

Mwanamuiki wa kike ambae pia ni mjasiriamali, Shiloleh ameonyesha tatoo aliyochora kwenye mwili wake yenye jina la mume wake mpendwa uchebe yenye jina ‘ASHRAF‘  na kusema kuwa hiyo ndio tatoo yake ya...

View Article

Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>