Quantcast
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA TANZANIA LEO JUMAPILI MEI 8 2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRA Yataifisha na Kugawa Bure Sukari Mifuko 5,319 toka Brazil

Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imegawa Sukari yote ya Magendo Mifuko 5319 yenye thamani ya Zaidi ya  BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Riyama Afunguka Kutomsamehe Mtu Huyu kwa Kumdhulumu Pesa

MWIGIZAJI mahiri katika tasnia ya filamu Bongo Riyama Ali amelalamikia madalali wa kazi za wasanii kwa kuwa chanzo cha dhuluma kwa wasanii wanaotengeneza filamu, huku wao wakijinufaisha na jasho lao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto Asiye na Mikono Ashinda tuzo la Muandiko Bora

Anaya Ellick kutoka Chesapeake, Virginia hatumii viungo vya kumsaidia wakati anapoandika.Wakati anapoandika yeye husimama huku akishikilia kalamu yake katika mikono.Mwalimu wake mkuu Tracy Cox kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHIEF RAMSO MMOJA WA WAASISI WA HIPHOP NCHINI AENDELEZA KAZI YAKE ZA MUZIKI...

Mmoja wa waasisi wa muziki wa kufoka foka nchini Chief Rhymson kutoka kundi la Kwanza Unit ambaye kwa sasa anafahamika kwa jina la Zavara ameendelea kufanya kazi zake za kimuziki katika eneo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDIO HOTELI YA KITALII ILIYOPO CHINI YA BAHARI HUKO ZANZIBAR

Kisiwa cha Pemba nchini Tanzania kimekuwa maarufu kwa kilimo cha karafuu visiwani Zanzibar kwa miaka mingi tangu enzi za utawala wa Kiarabu visiwani humo. Hata hivyo zao hilo limekuwa likikumbwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kingwendu Kujikita Zaidi Kwenye Muziki, Sasa Asaka Meneja

Msanii wa vichekesho na muimbaji, Kingwendu amesema angependa kuwa na msimamizi wa shughuli zake katika sanaa ya muziki ili aweze kutoka badala ya kutegemea uchekeshaji peke yake.Msanii wa vichekesho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKWETE AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE MAZISHI YA LUCY KIBAKI NCHINI KENYA

Mwili wa mke wa Rais wa Kenya mstaafu Mhe. Mwai kibaki , Mama Lucy Kibaki ukiwasili kwa ajili ya mazishi hapo jana katika eneo la Bunge la Odhaya kaunti ya Njeri,mjini Nairobi nchini Kenya.Rais Mstaafu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jahazi la Simba Lazama Mbele ya Timu ya Mwadui Nakuipa Yanga Ubingwa wa Ligi...

Leo jioni timu ya Simba imekubali kichapo kitakatifu toka kwa timu ya Mwadui ya Shinyanga inayofundishwa na Kocha wa Zamani wa Simba Julio..Kichapo hicho cha goli moja bila goli lililofungwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Tanzania Leo Jumatatu Ya May 9,2016

BONYEZA HAPA KUSOMA MAGAZETI MENGINE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOA ODA YAKO SASA KWA HUDUMA YA MC DR CHENI NI MSHEREHESHAJI BORA ZAIDI TANZANIA

 Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Lewis Mbonde

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION

PROJECT PROPOSAL ............................................................300,000/=RESEARCH PROPOSAL WRITTING.......................................250,000/=RESEARCH PAPER...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond, Wizkid, Flavour kutumbuiza Barclays Center, New York, July 22

Ni ukumbi wa ndani kwa ndani maarufu mno jijini New York, Marekani nyumbani kwa wasanii wakubwa wakiwemo Jay Z, Beyonce, Justin Bieber, Rihanna, Drake, taja kila msanii mkubwa wa Marekani, amewahi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bush Asema Hatampigia Kura Donald Trump

Aliyekuwa mgombea wa urais wa tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani, Jeb Bush amesema hatampigia kura Donald Trump katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika nchini humo Novemba mwaka huu.Bush alisema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA Sepetu "Sipendi Watu Wanavyonitukana Mgumba Instagram..Saa Zingine...

Wema Sepetu amefunguka na kusema kuwa hapendi watu wanavyomwita mgumba ama kuendelea kumuongelea kuhusuBONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yaliyomo ktk Magazeti Ya Tanzania Leo Jumanne Ya May 10,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge Apinga Wakunga Wanaume Kuruhusiwa Kuwahudumia Wanawake Wakati wa...

Mbunge wa Viti Maalumu (CUF), Riziki Mngwali amepinga mpango wa Serikali kuajiri wakunga wanaume katika baadhi ya zahanati kuhudumia wajawazito wakati wa kujifungua kuwa ni udhalilishaji dhidi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ankal Issa Michuzi wa Issa Michuzi Blog Afiwa na Mtoto wake

Ankal Issa Michuzi anasikitika kutangaza kifo cha mwanae Maggid Muhidin kilichotokea jana Jumapili huko Durban, Afrika Kusini, alikokuwa masomoni.Mipango ya kuusafirisha mwili wa marehemu inafanywa,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam yavunnja mkataba wa UDA

Hatimaye uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, umevunja mkataba wa uwekezaji wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam(UDA) na Kampuni ya Simon Group Limited inayomilikiwa na mfanyabiashara,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AY na Mwana FA Waingia Kortini Kuishtaki Kampuni iliyotumia Nyimbo zao Bila...

Kuna uwezekano mkubwa, AY na Mwana FA wamefungua kesi ya masuala ya ukiukwaji wa haki miliki za kazi zao. BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>