Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AMTEUA DR ASHA-ROSE MIGIRO KUWA BALOZI WA TANZANIA NCHINI...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge Wagomea Utaratibu wa Kujisajili Mara Mbili....Wadai wao ni Watu...

Wabunge wameitaka Ofisi ya Bunge iwaondolee mara moja utaratibu wa kusaini kwa kutumia vidole mara mbili kwa siku kwa kuwa wao si wanafunzi.Hoja hiyo iliwasilishwa kwa njia ya mwongozo na kuungwa mkono...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Alhamisi ya May 5,2016

SOMA ZAIDI MAGAZETI MENGINE BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION

PROJECT PROPOSAL ............................................................300,000/=RESEARCH PROPOSAL WRITTING.......................................250,000/=RESEARCH PAPER...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOA ODA YAKO SASA KWA HUDUMA YA MC DR CHENI NI MSHEREHESHAJI BORA ZAIDI TANZANIA

 Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Lewis Mbonde

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huu ni Udhaifu wa Instagram Uliogunduliwa na Mtoto wa Miaka 10

Mtoto mwenye umri wa miaka 10 nchini Finland amewashangaza watu wengi baada ya kugundua udhaifu katika mtandao wa kijamii wa Instagram.Mvulana huyo kwa jina Jani ametunukiwa $10,000 (£7,000) baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM Yakanusha Mwenyekiti wake Jakaya Kikwete 'Kugoma' Kukabidhi Uenyekiti kwa...

Baadhi ya vyombo vya habari vimekuwa vinatoa taarifa potofu kuhusu mchakato wa  Mwenyekiti wa sasa wa CCM Dkt. Jakaya Kikwete kukabidhi kijiti cha uongozi wa CCM kwa Rais John Pombe Magufuli kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mmiliki wa TP Mazembe Atangaza Kuwania Urais Jamhuri ya Demokrasia Congo

Mwanasiasa mashuhuri nchini Jamhuri ya Demokrasi ya Congo Moise Katumbi amethibitisha kuwa atagombea urais kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Novemba. Mfanyabiashara huyo na gavana wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Ijumaa ya May 6,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Walimu Wagoma, kisa mwenzao kuzabwa kofi darasani na Ofisa Elimu

WALIMU wa shule ya msingi Kianda wameanza mgomo wa siku mbili wa kutofundisha shuleni hapo huku wakilaani kitendo cha Ofisa Elimu (Shule za Msingi) wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Awaonya Walioficha Sukari......Atishia Kuichukua Sukari Hiyo na...

Rais Magufuli ametoa onyo kali kwa wafanyabiashara walioficha sukari ili baadae waiuze kwa bei kubwa.Amesema wafanyabiashara hao wenye tamaa ya pesa walikuwa wakifuata sukari iliyo Expire huko Brazili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge Wanawake wa Upinzani Ukawa Wametoka nje ya Bunge Asubuhi Hii..Kisa...

Wabunge wanawake wa Upinzani(UKAWA) wametoka nje ya Bunge asubuhi hii, baada ya kauli kuwa wanapewa nafasi za Ubunge sababu wana mahusiano ya kimapenzi na viongozi waoKauli hiyo ilitolewa na Mbunge...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRA Yazidi Kuvuka Malengo Ya Ukusanyaji Mapato

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezidi kuvuka malengo ya ukusanyaji mapato kwa kukusanya asilimia 99 ya lengo la kukusanya mapato kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kwa kukusanya Shillingi Trillioni 10.9...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Jengo la Ofisi za Kazi Mtaa wa Bibi Titi Dar Lawaka Moto

Moto umezuka jioni hii kwenye Jengo la ofisi za Kazi, Mtaa wa Bibi Titi Mohammed, Jijini Dar es salaam, na habari zilizotufikia magari ya Zimamoto yapo eneo la tukio na juhudi za kuuzima zinaendelea....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madee Afunguka Undani wa Wimbo wa ‘Haya Yote ni Maisha’ ya P Funk

Msanii Madee amefunguka undani wa wimbo wa ‘Haya Yote Maisha’ wa Producer P Funk Majani ambao ameimba yeye, wimbo ambao ulishika chati na kugusa hisia za watu wengi.Akiongea kwenye Planet Bongo ya East...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Tanzania Leo Jumamosi ya Mei 7,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makonda Amtembelea Diamond Ofisini Kwake...Diamond Afunguka Haya

From @diamondplatnumz - Shukran sana sana Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam @PaulMakonda kwa kututembelea katika Office zetu za @Wcb_Wasafi jana usiku.... ujio wako Umetutia nguvu na Moyo mkubwa katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU HAPA NI UJUMBE WA RAY KIGOSI KWA VIJANA

Msanii wa filamu nchini Ray Kigosi amefunguka na kusema kuwa yeye furaha yake ni kuona vijana wenzake wakifanikiwa na kupiga hatua kimaendeleo.Ray Kigosi amewaasa vijana wenzake kuwa wasikae...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GD SAGRADA ESPERANCA YA ANGOLA YACHEZEA KICHAPO CHA GOLI 2-0 KUTOKA KWA YANGA

Mshambuliaji wa Yanga, Matheo Anthony akishangilia bao la pili aliloifungia timu yake katika mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya GD Sagrada Esperanca uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI ATUNUKU KAMISHENI MAAFISA 586 KATIKA CHUO CHA MAAFISA WA...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akikagua gwaride kabla ya kutunuku Kamisheni kwa Maafisa Wapya 586 wa jeshi la Wananchi wa Tanzania kundi la 58/15...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>