Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2428

Breaking News: Rais Magufuli Avunja Bodi ya Bandari.....Amsimamisha Kazi Katibu Mkuu Wizara Ya Uchukuzi

$
0
0

Rais wa Tanzania wa awamu ya Tano Dkt.John Pombe Magufuli katika kasi yake ya kutumbua majipu hatimaye,amevunja bodi yote ya Bandari na kutengua uteuzi wa Mkurugenzi mkuu wa bandari Bw.Awadhi Massawe (Pichani) na ameagiza wote wawekwe chini ya ulinzi .
 
Rais  pia  amemsimamisha  kazi katibu mkuu wizara ya uchukuzi Bw.Shabani Mwinjaka.

Chanzo:Mpekuzi blog 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2428

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>