Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Alhamisi ya February 23,2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanafunzi akipata mimba mzazi jela miaka 30

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema serikali itatoa adhabu kali ya kifungo cha miaka 30 jela kwa wazazi wote wawili wa mtoto wa kike atakayekatishwa masomo na kulazimishwa kuolewa ama akipata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TCU Yatoa majina ya wanafunzi wa vyuo vikuu ambao hawana sifa ya kuendelea na...

 Tafadhali bonyeza jina la Chuo husika ili uweze kuona OrodhaS/No.JINA LA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Tanzania Ijumaa ya February 24,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASWALI MATANO YA KUUAWA KWA MPELELEZI

Polisi wa wakiwa eneo la tukioPWANI: Taarifa kutoka Kibiti wilayani Rufiji Mkoa wa Pwani zinasema, mpelelezi wa wilaya hiyo (OC-CID), SP Peter Kubezya ameuawa kwa kupigwa risasi ya tumboni na watu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA UPELELEZI WILAYA ALIYEUAWA KIBITI ALIVYOAGWA

RPC Pwani, Bonaventura Mushongi akiaga mwili wa marehemu.Mkuu wa Upepezi wa Wilaya ya Kibiti Mkoani Pwani, OC CID, Peter Kuponezya, aliyeuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yawataka Wananchi Kuanzisha Desturi Ya Kununua Kazi Za Wasanii

Serikali imewataka wananchi kuanzisha desturi ya kununua kazi za wasanii, kwakuwa ndiyo njia pekee inayoweza kuwanufaisha kwa kazi wanazozifanya.Wito huo umetolewa wiki hii na Katibu Mkuu Wizara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumapili ya February 26,2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simba Yaitandika Mabao 2 Yanga Uwanja wa Taifa

Klabu ya Yanga ilianza vyema mchezo ndani ya dakika za mwanzo kabisa na kupelekea mchezaji Obrey Chirwa mwenye jezi namba 7 mgongoni kufanyiwa madhambi ndani ya kumi na nane na mchezaji wa Simba Novat...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Muhimu: TCU yatolea ufafanuzi uhakiki wa wanafunzi wasiokuwa na Sifa...

Tume ya Vyuo  Vikuu  Tanzania (TCU)  inapenda kuuarifu umma kuwa, uhakiki wa ubora wa wanafunzi wa elimu ya juuhufanyika kwa mujibu  wa Kifungu  5(1)(b)(c)  cha Sheria yaVyuo Vikuu Sura ya 346 ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge Paulina Gekul anusurika Kifo......Alazwa ICU, Ziara yaahirishwa

Mbunge wa jimbo la Babati mjini Paulina Gekul amenusurika kifo baada ya gari lake lenye namba za usajili T 189 BHQ kuacha njia na kupinduka vibaya ambapo mbunge huyo alikuwa katika msafara wa naibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Tanzania Jumatatu ya February 27,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Donald Trump Apata Pigo Jingine...Waziri Mwigine wa Jeshi Ajiondoa

Mtu mwengine aliyeteuliwa na rais wa Marekani Donald Trump, kujaza wadhfa wa waziri wa jeshi la wanamaji amejiondoa baada ya kuonekana kukiuka sheria za taifa kuhusu mgongano wa maslahi.Philip Bilden...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Tanzania Leo Jumanne ya February 28,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamanda Sirro Asimulia Anavyosumbuliwa na Wanawake Usiku

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Kamishna, Simon Sirro amesema miongoni mwa changamoto anazokutana nazo ni pamoja kupigiwa simu za vishawishi na wanawake hasa usiku wa manane, wakidhani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ray Kurudi na Nguvu Mpya Kwenye ‘Bongo Movie’

Msanii filamu Bongo Vincent Kigosi ‘Ray’ amefunguka na kuwaomba mashabiki zake kuwa tayari kuipokea kazi yake mpya ya ‘Gate Keeper’ ambayo ina utofauti mkubwa katika kazi zake alizowahi kuzifanya hapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa afungua mkutano wa watendaji Wakuu wa Mashirika...

Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa  mapema leo 28 Februari 2017, ameongoza mkutano wa siku moja wa watendaji wakuu na wenyeviti wa bodi za mashirika ya umma, unaojadili nafasi za mashirika ya Umma katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AY: Kubaki local au kwenda international ni uamuzi wa msanii mwenyewe

AY ni msanii wa kwanza kutoka Bongo kuwekeza muziki wao nje ya nchi kwa kufanya kazi na wasanii wakubwa kwa wakati huo akiwemo Ms Triniti, Sean King Stone na P Square. Rapper huyo amefunguka kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Asali Ibada Ya Jumatano Ya Majivu Katika Kanisa Katoliki La...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisali katika Ibada ya Jumatano ya Majivu pamoja na Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamini Wiliam Mkapa, Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIBONZO VILIVYOBAMBA LEO

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>