Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli atoa msamaha kwa wafungwa Katika Kuadhimisha miaka 53 ya Muungano

Katika kuadhimisha Miaka 53 ya Muungano wa Tanzania tarehe 26 Aprili, 2017 Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutumia madaraka aliyopewa chini ya Ibara ya 45(1)(d) ya Katiba ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Alhamisi ya May 4,2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwakyembe Apiga Marufuku Magazeti Kusomwa Redion na Katika Television

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison G. Mwakyembe (Mb), jana tarehe 03 Mei, 2017 alikuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri kijana zaidi wa Somalia auawa kwa risasi

Waziri mwenye umri mdogo zaidi nchini Somalia ameuawa kwa kupigwa risasi mjini Mogadishu muda mchache baada ya kuzindua mradi wa ujenzi wa jengo kwa ajili ya watumishi wa umma.Kioo cha gari kikionyesha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tunahitaji dakika 9 tu kuichapa Mbao FC – Manara

Msemaji wa Klabu ya Simba SC, Haji Manara ameanza majigambo yake mapya kwa kuwaambia Mbao FC watatumia dakika tisa tu kuwaangamiza katika fainali za Kombe la FA, zinazotarajiwa kuchezwa Mei 28, katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Tanzania Leo Jumatatu ya May 8,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI Yagharamia Msiba wa wa Wanafunzi 32 Waliofariki Arusha

Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania imegharamia Sanda pamoja na majeneza kwa ajili ya Wanafunzi wa Shule ya Lucky Vicent waliopoteza maisha mapema jana kwenye ajali iliyokuwa ikihusisha safari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais kuongoza Waombolezaji leo kuaga Miili ya wanafunzi 32 jijini...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan aliwasili mjini Arusha jana jioni  ambapo leo  ataongoza wananchi wa mkoa wa Arusha na mikoa ya jirani katika kuaga miili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za wanafunzi 32, walimu 2 na dereva mmoja wa Shule ya Lucky Vicent...

Juzi wanafunzi 32 wa darasa la saba, walimu 2 na dereva wa gari la shule ya msingi iitwayo Lucky Vicent ya Arusha walifariki dunia majira ya saa 3 asubuhi baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge wameafiki kutoa posho zao za siku kwa ajili ya rambirambi kwa familia...

Wabunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo wakiwa bungeni wamekubaliana kwa kauli moja kuwa posho za kila mbunge kwa siku ya leo zipelekwe kwa wazazi wa wanafunzi waliofariki kwa ajali ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAELFU WAJITOKEZA KUWAAGA WANAFUNZI ,WALIMU NA DEREVA WALIOFARIKI KWENYE...

Maelfu ya wananchi wa ndani na nje ya mkoa wa Arusha wamejitokeza kuwaaga wanafunzi,walimu na dereva wa shule ya Lucky Vicent waliofariki katika ajali ya gari juzi. Mageti ya Uwanja wa Sheikh Amri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumatano ya May 10,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: Makamu Wa Rais Awatembelea Wanafunzi Walionusurika Katika Ajali Iyoua...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimjulia hali  Sadia Isamel Awadhi mwenye umri wa miaka 11 ambaye ni mmoja wa majeruhi waliolazwa kwenye hospitali mkoa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERA SANAA CECY USIKU WAKO ULINOGAA SANAA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Treni ya Abiria Yapata Ajali Morogoro

Treni ya abiria imepata ajali usiku saa 5 eneo la Stesheni ya Mazimbu Morogoro ambapo mabehewa manne yameegama na matatu yameacha reli.Ashura Mrisho aliyekuwa anakwenda Tabora amejeruhiwa kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Tanzania Jumapili ya May 14,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: Hospitali Marekani yafanikisha upasuaji mkubwa wa wanafunzi...

Watoto watatu wa shule ya msingi ya Lucky Vicent walionusurika katika ajali ya basi, wamefanyiwa upasuaji na sasa wapo wodini wakiendelea na BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Alhamisi ya May 18,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA: Dogo Mfaume Amefariki dunia

Msanii wa muziki wa bongo fleva, Dogo Mfaume ambaye aliwahi kutamba na nyimbo kama 'Kazi Yangu Ya Dukani' amefariki dunia jana katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akiendelea kupatiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uamuzi wa Rais Magufuli kuhusu wafanyakazi 9 wa TBC waliotangaza habari ya...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amewasamehe wafanyakazi tisa wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) waliokuwa wamesimamishwa kazi kwa kosa la kurusha habari ya uongo...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>