Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA TANZANIA LEO JUMANNE JULY 18,2017

BOFYA HAPA KUSOMA MAGAZETI MENGINE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tajiri Namba Moja Duniani Bill Gates Aitengea Tanzania Kiasi hiki cha Fedha

BONYEZA HAPA LEWIS MBONDE BLOG KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

'Kuna Mtu Amelipwa Pesa ili Aniue' -Saida Karoli

Ikiwa imepita miezi miwili toka msanii wa nyimbo za asili Tanzania Said Karoli arudi rasmi kwenye muziki na kuachia kazi zake mbili zilizopata mafanikio na kuwafikia watu wengi zaidi ameibuka na kudai...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chid Benz Akamatwa tena na dawa za kulevya

Jeshi la polisi  Mkoa wa Ilala, limewakamata watu saba akiwemo msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro maarufu kama ‘Chid Benz’ kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya Heroine.BONYEZA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafuasi 13 wa Cuf Watoka Nduki Mahakamani Baada ya Kesi Yao...

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia huru wafuasi 22 wa Chama cha CUF waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka manne, likiwemo la kukutwa na mabomu ya machozi 10, ambayo yanatumiwa na Jeshi la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Walemavu 350 wajitokeza kupokea miguu ya bandia kwa RC Makonda

Zaidi ya walemavu 350 wamejitokeza katika zoezi la upimaji miguu ili kupatiwa miguu ya bandia itakayowasaidia kufanya shughuli zao kirahisi.RC Makonda akiwa na walemavu haoZoezi hilo limeandaliwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mke wa Msanii Mr. Blue Atoa Sababu za Kupigana Migumi na Mumewe Mara Kwa Mara

Mke wa msanii wa Hip hop bongo Mr. Blue Bi. Wahida maarufu kwa jina la Wahida wa Mr. Blue, ametoa sababu ambayo iliwafanya yeye na mumewe kupigana mara kwa mara.Akizungumza kwenye kipindi cha Planet...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WOLPER AMTEMEA POVU MADEE KISA HIKI HAPA

Maneno ya Wolper ...Embu ona jamani macho natia huruma kama na upwiro kilo 200hii mikaka yetu ya kibongo kuna mida inaboa kuna mida inakuwa poa sasa Madee Rais wa Manzese nikuulize swali.ulishindwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO TANZANIA JUMATANO AGOSTI 16,2017

BOFYA HAPA KUSOMA MENGINE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dokii Aamua Kumrudia Mungu

Msanii Dokii amewataka Watanzania waache kumfuatilia maisha yake, kwani maisha yake hayawahusu hata kidogo, hususani kwa kipindi hiki ambacho ameamua kuokokaAkizungumza kwenye Planet Bongo ya East...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO YA HARUSI NA SEND OFF AMBAYO NILIHUDUMU KAMA MC

Call now these numbers for booking Mc Dr Cheni+255 754 222 201Admin: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Roma arudi nchini kimya kimya, Aahidi kuweka wazi kila kitu kuhusu ‘Zimbabwe’

Msanii wa muziki wa Hip Hop nchini Tanzania, Roma Mkatoliki amewasili jana usiku akitokea nchini Zimbabwe alikoenda kikazi.Roma MkatolikiRoma Mkatoliki ambaye ameachia wimbo wake mpya wa Zimbabwe wiki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUPIMA UKIMWI NCHINI ZAMBIA NI LAZIMA SIO HIARI TENA

Rais wa Zambia, Edgar Lungu, ametangaza kwamba wananchi wote wanaofika katika vituo vya afya vya serikali wapimwe virusi vya Ukimwi kwa lazima, wapatiwe ushauri nasaha na tiba.Rais Lungu amesema, sera...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bodaboda Wapigwa Marufuku Kubeba Wanafunzi na Watoto Chini ya Miaka 10

Jeshi la Polisi  August 15, 2017 limetoa tamko la kupiga marufuku Waendesha Bodaboda kubeba watoto wenye umri wa chini ya miaka 10 na kwamba atakayekiuka agizo hilo pamoja na mzazi aliyeruhusu mwanawe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond amehusika kufanikisha kolabo ya Madee na Tekno

Msanii Madee amebainisha kuwa Diamond Platnumz anahusika kufanikisha kolabo yake na Tekno.Madee amesema haikuwa ngumu sana kumpata muibaji huyo kutoka Nigeria na pia si yeye aliyeangaikia kolabo hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii Hapa Ratiba ya Mapokezi ya Majeruhi wa Lucky Vicent Hii Hapa

Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ametoa ratiba ya majeruhi wa shule ya Lucky Vicent ya jijini Arusha ambao walikuwa nchini Marekani kimatibabu kufuatia ajali walioipata.Mhe. Nyarandu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jamaa Amuua Mpenzi Wake Kisha na Yeye Kujiua Dar

Binti mmoja aliyefahamika kwa jina la Maria Pius amezikwa leo makaburi ya Mwananyamala kwa Kopa baada ya mpenzi wake kumuua kwa kumpiga na kitu chenye nchi kali kisha mwili wake kuutupa kwenye shamba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHENI TV:WAJUE KWA UNDANI VIJANA HAWA WA DR CHENI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHENI TV:Ben poul amkubalia Ebitoke cheki furaha aliokuanayo Ebitoke jamani

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NANDY AWEKA WAZI JUU YA MAHUSIANO YAKE NA MC PILIPILI

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>