Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cheni Arts Creation Company Wasambazaji wa Filamu za Kibongo

Inatoa nafasi ya kuchukua filamu za wasanii wachanga na wakubwa kwa ajili ya  kuzipeleka kwenye tv stesheni zilizowai kutoka na atakama kazi yako ujaitoa tutaichukua kwa makubaliano maalumu ili tuweze...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Tanzania Leo Jumatatu Ya Jaunuari 4, 2016

  BONYEZA HAPA KUSOMA MAGAZETI MENGINE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Daraja la Flyover Limeanza Kujengwa Makutano ya Tazara

 Naam, ujenzi wa flyover pale TAZARA jijini Dar umeanza kama ilivyoahidiwa.Tutarajie kupata kitu imara toka kwa wajapani?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chuo cha Garissa kufunguliwa tena

Image copyrightAFPImage captionKituo cha polisi kimejengwa ndani ya chuo kikuu cha GarissaChuo kikuu cha Garissa, mashariki mwa Kenya, kilichofungwa mwaka uliopita baada ya watu 148 kuuawa kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchungaji Lwakatare Apinga Nyumba yake Kubomolewa....Mwanasheria Wake Aitaka...

Mchungaji  a  Kanisa  la  Assemblies of God,Mikocheni, Dr Getrude Lwakatare amepinga  nyumba  yake  kubomolewa  ikiwa  ni  siku chache  baada ya wizara  ya  maliasili  na  utalii kupitia  wakala  wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Basi la Luwinzo Lagongana na Lori Asubuhi Hii.......Wawili wafariki Dunia...

Basi la abiria la kampuni ya Luwinzo linalofanya safari za Dar es salaam - Njombe limegongana na lori asubuhi hii likitokea Njombe kuelekea Dar.  BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Noti Bandia Zawaliza Wafanyabiashara Msimu wa Christmas

Misimu wa sikuu za Christmas na Mwaka Mpya ilikuwa na neema kwa wafanyabiashara wengi nchini lakini iliacha vilio vya utapeli kwa baadhi wa wafanyabiashara hususan maeneo ya pwani waliojikuta wametoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ikulu Yamjibu Dk Makongoro Mahanga Aliyemtuhumu Rais Magufuli Kuunda Serikali...

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amesema ameshangazwa na kauli ya aliyekuwa Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongo  Mahanga kuwa wingi wa makatibu wakuu unakinzana na dhana ya kupunguza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shule sita Nchini Kufundisha Kichina

WIZARA ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi imeteua shule sita za sekondari nchini kuingia katika mpango maalumu wa wanafunzi wake kufundishwa somo la lugha ya Kichina kuanzia mwaka huu.Kutokana na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mbarawa Atoa Siku Tatu Ukarabati Reli Ya Kati Iliyosombwa na Mafuriko

Waziri Mbarawa Atoa Siku Tatu Ukarabati Reli Ya Kati Iliyosombwa na MafurikoWaziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amewataka watendaji wa Shirika la Reli nchini (TRL) na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL NOW +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE...

                BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)..............................  60,000/=              BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)..................... 45,000/=              ADSENSE (BLOGGER...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cheni Arts Creation Company Ltd Wasambazaji wa Filamu za Kibongo

Inatoa nafasi ya kuchukua filamu za wasanii wachanga na wakubwa kwa ajili ya  kuzipeleka kwenye tv stesheni zilizowai kutoka na atakama kazi yako ujaitoa tutaichukua kwa makubaliano maalumu ili tuweze...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Naibu Waziri -Tamisemi Seleman Jaffo Amsimamisha Kazi...

Naibu Waziri Tamisemi Suleiman Jaffo amemsimamisha kazi kwa muda Mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela jijini Mwanza John Wanga ili kupisha uchunguzi wa uhalali wa fedha zilizotumika kujenga fensi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu 8 Wakiwemo Polisi Wafariki Dunia Kwa Kusombwa na Maji Kibaigwa Mkoani...

WATU 8 wamefariki dunia katika ajali iliyosababishwa na gari kusombwa na maji huku watu 6 wakiwa wa  familia moja.BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA NFRA NA UJENZI WA OFISI YA MKURUGEZI...

 Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akikagua mahindi yaliyohifadhiwa nje ya majengo ya maghala ya  Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA mjini Songea  akiwa katika ziara ya siku tatu mkoani Ruvuma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Akutana Na Abdallah Bulembo ,Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha kisha kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi ya CCM Alhaji Abdallah Bulembo Ikulu jijini Dar es salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yaliyojiri Leo Ikulu Baada Ya Rais Magufuli Kukutana na Mkaguzi Mkuu wa...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wanne Ikulu Jijini Dar es salaam ambapo pamoja na kutakiana heri ya Mwaka Mpya,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongereni Raphael kongwe na Grace Harusi yenu ilimelemeta sana

 Mc wa sherehe Mc Dr cheni akiwa pamoja na maharusiMahsein Awadh Said Maarufu kwa jina la Dr cheni katika tasnia ya filamu ambaye kwa sasa pia ni MC Mshereheshaji wa sherehe kama harusi na matukio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA TANZANIA LEO JANUARI 5,2016

BONYEZA HAPA KUSOMA MAGAZETI MENGINE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wahispania Wagundua Tiba ya UKMWI

Wakati dunia ikiwa na zaidi ya watu 34 milioni wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (VVU), madaktari nchini Hispania wametangaza kugundua tiba ya ugonjwa huo wanayodai ni uhakika.Kwa kutumia damu ya...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>