Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama Kuu Kitengo Cha Ardhi Yazuia Jumba la Mchungaji Lwakatare Kubomolewa

MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Ardhi imezuia nyumba anayoishi Mchungaji wa Kanisa  la  Assemblies of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare kubomolewa.Uamuzi huo wa mahakama ulitolewa juzi na Jaji John Mgeta,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJUE MATAJIRI 10 WA AFRIKA NZIMA

1. Aliko Dangote – Net worth: $15.7 Billion (Nigerian) Aliko Dangote is the world’s richest black man. He built his fortune through three commodities: sugar, cement, flour. Also he plans to invest in...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI HATARIII;MOTO WAKE NCHINI WAWATISHA VIGOGO HAWA 900,WAJISALIMISHA...

  SIKU moja baada ya Serikali kuzitaka kampuni 980 zinazodaiwa fedha zilizotolewa na wahisani chini ya Mpango Maalumu wa Kuagiza Bidhaa na Malighafi kutoka Nje (CIS), baadhi ya vigogo wameanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZ:Bilioni 18.77 Zimetumwa Kwenye Akaunti Za Shule Za Msingi Na...

KIASI cha shilingi bilioni 18.77 zimetumwa kwenye akaunti za shule za Msingi na Sekondari za halmashauri zote hapa nchini kwaajili ya wanafunzi kusoma bure.BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simba Avamia Kijiji cha Sitalike Tarafa ya Nsimbo Wilayani Mlele Katavi na...

Mnyama Simba amevamia Kijiji cha Sitalike Tarafa ya Nsimbo Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi na kuuwa watu wawili.Waliouawa ni baba na mtoto wake ambapo simba huyo kula mtoto na kuacha BONYEZA HAPA KUSOMA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTANZANIA MBWANA SAMATTA ANYAKUA TUZO YA MCHEZAJI BORA AFRIKA

Mshambuliaji Mbwana Aly Samatta wa Tanzania na klabu ya TP Mazembe ameshinda Tuzo yaMchezaji bora anayechea soka barani Afrika naBONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Tanzania Ijumaa Ya Januari 8, 2015

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof Joyce Ndalichako Atoa Maagizo Mazito NECTA......Awapa Siku 7 Wamweleze...

WAZIRI wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako  ametoa siku saba kwa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limpe sababu za kubadili mfumo wa utunuku viwango vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askofu Pengo: "Muhimbili Panatosha na Nimeridhika Na Huduma Za Hapa, Sioni...

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki  la Dar es salaam,Muadhama, Kardinali  Pengo amesema kwamba ameridhishwa na huduma za afya zinazotolewa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili(MNH), hivyo itakuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msimamizi Wa BomoaBomoa Dar Aanguka Ghafla Ofisini Kwake.... Madaktari...

Operesheni kubwa ya kubomoa nyumba zaidi ya 15,000 zilizojengwa katika maeneo yasiyostahili jijini Dar es Salaam, imekumbana na changamoto ya aina yake baada ya mmoja wa wasimamizi wa kazi hiyo kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mke Afia 'Gesti' Akiwa na Mchepuko

Mwanamke mmoja (jina linahifadhiwa)  anayedaiwa ni mke wa mtu, amefariki dunia katika nyumba ya kulala wageni katika Manispaa ya Bukoba, akiwa na mwanaume mwingine anayesemekana ni hawara yake.BONYEZA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii ndio Idadi ya Kura Alizopata Samata – Na Namna Kura Zilivyopigwa

Mbwana Samatta ndio jina liliotajwa zaidi kwenye vinywa vya watanzania wengi na Afrika kiujumla ndani ya masaa kadhaa yaliyopita – baada ya mwanasoka huyo wa Kitanzania anayekipiga katika klabu ya TP...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Ampongeza Mbwana Ally Samatta Kwa Kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salam za pongezi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na  Michezo Mhe. Nape Nnauye kufuatia mchezaji wa Timu ya Taifa ya mpira...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION

                BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)..............................  60,000/=              BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)..................... 45,000/=              ADSENSE (BLOGGER...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yatoa Picha Rasmi ya Rais wa Awamu ya Tano, Dkt John Pombe Magufuli

Picha Rasmi ya Rais wa Jamhuri ya  Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli itaanza kuuzwa Januari 08, 2015, katika Ofisi za Idara ya Habari (MAELEZO) Mtaa wa Samora.BONYEZA HAPA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA TANZANIA LEO JUMAMOSI, JANUARI 9,2016

BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hizi hapa ni Sikuuu Za Kitaifa- 2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BomoaBomoa Yaipasua Kichwa Serikali.......Mwanasheria Wa Nemc Aliyehalalisha...

TAARIFA YA SERIKALI KUHUSU ZOEZI LA KUHAMISHA WAKAZI WA MABONDENI KATIKA JIJI LA DAR ES SALAAMUtanguliziNchi yetu ina kingo za mito na mabonde na maeneo mengi hatarishi ambamo watu wanaishi kinyume cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askofu Pengo Kutoka Hospitali Leo

Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amesema afya ya Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wasiopeleka Watoto Shule Kuburuzwa Kortini Machi 30

SERIKALI imesema haitosita kuwafungulia mashtaka na kuwapeleka mahakamani ifikapo Machi 30, mwaka huu, wazazi ama walezi wote watakaoshindwa kupeleka watoto wao shuleni ili kupata elimu ya msingi na...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>