Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Binti wa Kitanzania Amayesoma India Adhalilishwa Kwa Kupigwa Na Kuvuliwa Nguo

Mtanzania anayesoma India amepigwa, kuvuliwa nguo na kisha kulazimishwa kutembea akiwa uchi na kundi la watu nchini humo.Mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 21 (jina linahifadhiwa) anayesoma shahada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Azam FC yachukua kombe la Michuano Maalum Zambia

Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imetwaa ubingwa wa michuano maalumu iliyomalizika jijini Ndola Zambia baada ya kutoa suluhu dhidi ya Zanaco FC ndani ya Uwanja wa Levy Mwanawasa.Sare...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mume Amcharanga Mke Wake Kwa Panga Sehemu Mbali Mbali Kisa Sh 5,000 ya Matumizi

Mkazi wa kijiji cha Buhembe, mkoani mara, Martha Hussein 'Bhoke' amecharangwa na panga sehemu mbalimbali za mwili wake na mume wake kwaBONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbowe Na Zitto Kabwe Wazika Rasmi Ugomvi Wao Wa Muda Mrefu

Uhasama  uliodumu kwa muda mrefu kati ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo) na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe sasa ni wazi unaonekana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uchaguzi Mameya Kinondoni na Temeke sasa Kurudiwa

Uchaguzi wa umeya katika Manispaa za wilaya za Temeke na Kiondoni utarudiwa baada ya kugawanywa na kuzaa wilaya za Ubungo na Kigamboni.SOMA ZAIDI>> HAPA KAZI TU BLOG

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Tanzania Ijumaa Ya Februari 5, 2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Imebainika Mashine ya CT Scan Iliyofungwa Muhimbili Hospital ni ya Chuo...

WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto imekiri kwamba mashine ya CT Scan iliyofungwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ilikuwa ni ya kituo cha kisasa cha kutolea huduma za afya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa Aunga Mkono Maamuzi Ya CUF Kutoshiriki Uchaguzi Zanzibar

 Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais akiungwa mkono na vyama vinavyounda  umoja wa katiba ya wananch UKAWA, Mh. Edwrad Lowassa amesema ni vema serikali ikahakikisha inapata suluhu ya mgogoro wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yazungumzia Tukio la Mwanafunzi wa Kitanzania Kudhalilishwa Kwa...

Serikali imesema kuwa inaendelea kufatilia ili kuchukua hatia zaidi juu ya matukio yalitokea nchini India katika chuo cha Acharya Bangalore, ikiwemo la mwanafunzi wa Kike kudhalilishwa kwa kuvuliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Update: Polisi Watatu Wasimamishwa Kazi Kupisha Uchunguzi wa Binti wa...

Polisi watatu wamesimamishwa kazi kwa muda mjini Bangalore nchini India kwa tuhuma za kukataa kusikiliza na kupokea malalamiko ya watu walioshambuliwa na kundi la watu ambapo mwanafunzi mmoja wa kike...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Awasalimia Wananchi Wa Msamvu Mkoani Morogoro Leo Wakati Akiwa...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewataka watu wote waliotelekeza Mashamba na Viwanda walivyouziwa na serikali, kuhakikisha wanafufua mashamba na viwanda hivyo mapema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Asema Yeye si Kichaa wala Dikteta......Aahidi Kuifanyia Mema...

RAIS Dk. John Magufuli amesema anapochukua hatua yeye si kichaa, si dikteta, si shetani wala si mnyama, ila ni mpole, lakini amefika mahali lazima afanye hivyo kwani ndani ya Serikali yanafanyika mambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbowe Atangaza Baraza la Mawaziri Kivuli leo Bungeni

Kiongozi mkuu wa kambi ya upinzani bungeni Freeman Mbowe ametangaza baraza lake la mawaziri kivuli leo bungeni mjini Dodoma.Mbowe, ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Hai na Mwenyekiti wa Chadema ametaja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli Aanza Kutimiza Ahadi ya Kufufua Viwanda...Kiwanda Cha Matairi cha...

Shillingi Billioni 60 zinategemea kutumika kufufua kiwanda ya matairi cha General Tyres kilichopo Jijini Arusha ambacho kimesharudi mikononi mwa Serikali, na fedha hizo zitatumila kurekebisha mitambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL NOW +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE...

                CALL NOW +255 658 194 194 FOR MC DR CHENI I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION              PROPOSAL FOR DONORS...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMA UNAHITAJI MC WA SHEREHE MC DR CHENI NI CHAGUO SAHIHI KWA SHEREHE YAKO

 Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Lewis Mbonde 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cheni Arts Creation Company Ltd Wasambazaji wa Filamu za Kibongo

Inatoa nafasi ya kuchukua filamu za wasanii wachanga na wakubwa kwa ajili ya  kuzipeleka kwenye tv stesheni zilizowai kutoka na atakama kazi yako ujaitoa tutaichukua kwa makubaliano maalumu ili tuweze...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO TANZANIA JUMAMOSI FEBRUARI 6,2016

BONYEZA HAPA KUSOMA MAGAZETI MENGINE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Basata Yaifungulia Makucha Miss Tanzania

Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) limefungua makucha na kuitaka kampuni ya LINO waandaaji wa mashindano ya Miss Tanzania kurudimezani na kamati ya mashindano hayo ambayo ilijitoa wiki kadhaa nyuma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Masanja Mkandamizaji Kufungua Kituo Chake cha Radio na TV

Mchekeshaji wa kundi la Orijino Komedi, Masanja Mkandamizaji ameweka wazi mpango wake wa kufungua kituo cha Radio na TV ambavyo atavisimamia yeye mwenyewe.Akizungumza na 255 katika kipindi cha XXL cha...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>