Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwa Mara ya Kwanza Lowassa Afunguka Sababu Kubwa iliyomfanya Kuondoka CCM na...

Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema chini ya mwavuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa amesema kusakamwa kwa maneno ya kejeli, vijembe na vitisho, kuitwa gamba na fisadi ndani ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Tanzania Jumapili Ya Februari 7,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi Watatu Wafa Ajalini Msafara wa Rais Magufuli

Askari polisi watatu wamefariki dunia na wengine wawili wamejeruhiwa baada ya gari lao lililokuwa kwenye msafara wa Rais John Magufuli kutoka Singida kwenda Dodoma, kupasuka tairi na kupinduka.BONYEZA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIJI MITANO HATARI ZAIDI DUNIANI, AFRICA UMETAJWA MMOJA.HII HAPA

Mtu wangu wa nguvu bado mitandao inakupa nafasi ya kusafiri kifikra na kimawazo kama hujafika sehemu unaweza ukapata nafasi ya kuijua sehemu kabla hata ya kufika, February 7 nimekutana na list ya miji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sherehe za Miaka 39 ya CCM: Rais Magufuli Atuma Salamu Kwa Watendaji Wavivu...

Rais John Magufuli amewataka watendaji wote wa serikali kuhakikisha kuwa wanatekeleza ipasavyo matakwa ya ilani ya Chama Cha Mapinduzi kwa kuwa ndicho kinachoongoza nchi kwa sasa.BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mengine Yaibuka Taarifa ya Kocha Jose Mourinho Kujiunga Manchester United

 Timu ya Manchester United imekataa kusema lolote juu ya madai kuwa ilifanya mashauriano na wawakilishi wa kocha mzoefu Jose Mourinho, aliyeachishwa kazi kutoka Chelsea Disemba, mwaka jana.Habari za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbowe Afunguka Sababu Zilizopelekea Zitto Kabwe Kutochaguliwa Baraza la...

Maswali mengi yameibuka hivi karibuni baada ya wadau mbalimbali wa masuala ya siasa kutolisikia jina la mbunge wa kigoma mjini Zitto Kabwe kwa tiketi ya ACT katika Baraza Kivuli la MawaziriBONYEZA HAPA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL NOW +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE...

                CALL NOW +255 658 194 194 FOR LM  I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION              PROPOSAL FOR DONORS  .................................................350,000/=...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMA UNAHITAJI MC WA SHEREHE MC DR CHENI NI CHAGUO SAHIHI KWA SHEREHE YAKO

 Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Lewis Mbonde

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cheni Arts Creation Company Ltd Wasambazaji wa Filamu za Kibongo

Inatoa nafasi ya kuchukua filamu za wasanii wachanga na wakubwa kwa ajili ya  kuzipeleka kwenye tv stesheni zilizowai kutoka na atakama kazi yako ujaitoa tutaichukua kwa makubaliano maalumu ili tuweze...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Jumatatu Ya Februari 8, 2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwalimu Mkuu Ashushwa Cheo na Kukamatwa na Takukuru Kwa Rushwa ya KUKU

Mkuu wa Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, Amani Mwenegoha amemvua wadhifa wake Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Sinamila, Mashaka Lusotola na kumrudisha kuwa mwalimu wa kawaida.Hatua hiyo ilikuja baada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Happy birthday mke wangu mungu akupe maisha marefu

Happy birthday mke wangu mungu akupe maisha marefu akuzidishie upendo ili tulee familia nakupenda

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mawaziri Yona na Mramba Waanza Kutumikia Kifungo cha nje...Wakabithiwa Vyombo...

Yona, Mramba wakabidhiwa vifaa vya usafi hospitali ya BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askofu Gwajima Azushiwa Kifo

Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima, jana alizushiwa kuwa amefariki dunia.Taarifa hizo zilizozagaa katika mitandao ya kijamii zilieleza kuwa Askofu Gwajima alifariki dunia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Flora Mvungi Anatarajia Kujifungua Mtoto wa Tatu

Mke wa msanii wa muziki H. Baba, Flora Mvungi anatarajia kujifungua hivi karibuni na kuipatia familia yake mtoto wa tatu.Flora Mvungi akiwa hospitaliWana ndoa hao wenye watoto wawili, Tanzanite na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

“Nampenda yeye” ndio ilinitoa kimaisha-Temba

Gwiji wa Muziki wa Bonge Fleva Mhe. Temba amefunguka kuwa llbum yake ya kwanza ya nampenda yeye ndio iliyomfungulia Maisha na mafanikio katika muziki wake.Mhe. Temba ambae anaunda kundi la TMK Familly...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Jumanne Ya Februari 9, 2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwalimu Mkuu Avuliwa Wadhifa Wake Baada Ya Kuchelewa Kikao Cha Mkuu wa Wilaya

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Butinzya, amevuliwa wadhifa huo kwa madai ya kuchelewa kuhudhuria kikao kilichoitishwa na Mkuu wa Wilaya ya Bukombe, Amani Mwenegoha. BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda Apata Ajali Mbaya ya Gari

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa akiwemo mke wa waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda Mama Tunu Pinda baada ya gari walilokuwa wakisafiria kumgonga mwendesha pikipiki wakati...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>