Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamishna Wa Jeshi La Polisi Zanzibar Azungumza Na Wandishi Wa Habari Juu Ya...

Na Mwashungi Tahir na miza Kona – Maelezo Zanzibar    Nyumba ya Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar Hamdan Omar Makame imeripuliwa  na kitu kinachosadikiwa kuwa  ni bomu na watu wasiojulikana  majira...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mzee wa Miaka 75 Amepigwa na Mpangaji Wake Hadi Kufa Kisa Bili ya Umeme.....

Mzee wa miaka 75 mkazi waBONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto wa Siku 5 Aibiwa Hospitalini Usiku Wakati Mama Yake Akiwa Amelala

Hali ya sintofahamu imeibuka katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru baada ya mtoto mchanga wa siku tano kuibiwa wodini katika mazingira ya kutatanisha. Tukio hilo limezusha hofu kwa baadhi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Tanzania Leo Jumatano ya March 16,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA MASTAA WA BONGO WALIVYOMUANDALIA PARTY MKUU WA MKOA MH PAUL MAKONDA

March 13 2016 Rais John Pombe Magufuli aliwateuwa wakuu wa Mikoa 26 ya Tanzania na baadhi ya wakuu hao ni pamoja na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda, March 15 mastaa wa bongo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makonda aanza kazi kwa kishindo, awapa wakuu wa idara saa 24

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akishukua kutoka kwenye gari lake la Ukuu wa Mkoa wakati alipokuwa akifika kwa mara ya kwanza ofisini kwake Dar es Salaam leo mchana. Katibu Tawala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Balozi Juma Mwapachu Leo Atangaza kurudi CCM...Asema Alifanya...

HOTUBA YA BALOZI JUMA MWAPACHU KUTANGAZA KUREJEA CCM-MIKOCHENI 16/03/2016Ndugu zangu,Mtakumbuka kwamba mnamo tarehe 13 Oktoba 2015, nilitangaza kuihama CCM na kurejesha kadi yangu yaBONYEZA HAPA KUSOMA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jina la Msanii wa P Square Analotumia Kama Solo Artist ‘Mr P’ Limepondwa na...

Jina la msanii wa P Square analotumia kama solo artist ‘Mr P’ limepondwa na kukataliwa na mashabiki wa muziki Nigeria na wengi wametoa majina kadha anayoweza kutumia kama solo artist.Majina haya niMr...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli na Mkewe Wavutiwa na kipindi cha Clouds 360 mpaka Wameamua...

Rais John Magufuli na Mkewe, Mama Janeth leo amekuwa Rais wa kwanza Tanzania kupiga simu ya surprise moja kwa moja kwenye kituo cha runinga kama mtazamaji wa kawaida akichangia yaliyokuwa yanajadiliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya Wizara kuhusu filamu iliyompatia tuzo Elizabeth Michael "Lulu"

 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIKumekuwa na minongono mingi kutoka kwa baadhi ya wananchi kuhusu Filamu ya Mapenzi ya Mungu ya msanii Elizabeth Michael (Lulu) iliyoshinda tuzo ya Filamu bora Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya March 17,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashauzi Yanapoteza Wasanii Wengi-Diamond Platnumz

Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, Diamond Platnumz amedai kuwa mafanikio yake kimuziki na kuzidi kuendelea kufanya vizuri ni kutokana na ukweli kwamba yeye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Tanzania Ijumaa ya March 18,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTAFITI MPYA UNAONYESHA NCHI HII NNDIO NCHI MASIKINI ZAIDI AFRIKA

Afrika ni bara ambalo tafiti kadhaa zinafanyika na zimeendelea kufanyika, Matokeo ya Utafiti wa Africa Wealth umeitaja Zimbabwe kuwa ndio nchi Maskini. Inatajwa kuwa wizi wa kura, ukosefu wa kuheshimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda Atangaza Zawadi ya Milioni 1 Kwa...

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amekutana na Kamanda wa Polisi kanda maalum Simon Sirro pamoja na Askari Polisi kwa lengo la kujionea mwenendo wa jeshi hilo ambapo BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uchaguzi Zanzibar: Chama cha CUF kimewataka wanachama na wananchi wote kukaa...

Siku ya Jumapili, tarehe 20 Machi 2016, Zanzibar itashuhudia, kwa mara nyingine tena, ubakwaji wa demokrasia kwa kufanyika kile kinachoitwa Uchaguzi wa Marudio’ kufuatia tamko binafsi la Mwenyekiti wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maandalizi ya Uchaguzi Visiwani Pemba Yakamilika....Wananchi Watakiwa...

Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imesema maandalizi ya uchaguzi visiwani Pemba yamekamilika na kuwataka wananchi kujitokeza kesho kupiga kura na kuachana na dhana kuwa kutakuwa na vurugu.Mwandishi wetu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Jumamosi Ya March 19,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMA UNAHITAJI MC WA SHEREHE MC DR CHENI NI CHAGUO SAHIHI KWA SHEREHE YAKO

 Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Lewis Mbonde

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION

BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)...................................50,000/=BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)........................25,000/=ADSENSE (BLOGGERS UJIPATIE...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>