Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Rais Magufuli ateua wakurugenzi wakuu wapya NSSF, TBC na RAHCO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa watendaji wakuu wa Taasisi tatu za serikali kwa mujibu wa mamlaka aliyonayo.BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMAYE GAIDI ALIYEUWA WANANCHI 137 PARIS LAKAMATWA NA POLISI

(CNN)After a four-month search for Europe's most-wanted fugitive, Paris terror attacks suspect Salah Abdeslam was BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC PAUL MAKONDA AZUNGUMZA NA WENYEVITI NA MAOFISA WATENDAJI WA JIJI LA DAR ES...

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akizungumza na wenyeviti na maofisa watendaji wa jiji la Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu mambo mbalimbali hasu suala la usafi wa mazingira. Katibu Tawala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Jumapili Ya March 20,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uchaguzi Zanzibar : Mgombea Urais wa CCM Dr. Shein Apiga Kura Asubuhi Hii

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  ambae ni mgombea wa  Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk.Ali Mohamed Shein akipiga kura katika uchaguzi wa marudio  kituo namba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Bi Samia Suluhu Apiga Kura Visiwani Zanzibar

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bi Samia Hassan  Suluhu amepiga kura viwasini Zanzibar  katika uchaguzi wa marudio unaofanyika leo. Bi Samia amrwapongeza wananncji wa Visiwa vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr. Shein: Nategemea Ushindi wa Kishindo.

Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM) visiwani Zanzibar Dkt Ali Mohammed alizungumza na wanahabari baada ya kupiga kura yake katika kituo cha Bungi, Kibera kisiwani Unguja  ambapo alisema anaamini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uchaguzi wa Marudio Zanzibar Unaendelea Kwa AMANI na UTULIVU.......Wananchi...

Wananchi wa Zanzibar leo wanapiga kura katika uchanguzi wa marudio baada ya kufutwa kwa uchanguzi uliofanyika October 25,2025 kutokana na kasoro zilizojitokeza.Katika baadhi ya vituo wananchi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Christopher Ole Sendeka Ateuliwa Kuwa Msemaji Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM)

Chama cha Mapinduzi CCM leo kimemtangaza Christopher Ole Sendeka kuwa msemaji mpya wa CCM kuanzia leo.Sendeka ametangazwa rasmi na Katibu Mkuu wa chama hicho Ndugu Abdulrahman Kinana mbele ya Waandishi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mgombea Urais wa ADC Hamad Rashid Akiongea Na Waandishi wa habari Baada ya...

Mgombea Urais kupitia Chama cha  ADC Mheshimiwa Hamad Rashid akizungumza na Waandishi mara baada ya kupiga kura katika kituo cha shule ya sekondari  Wawi Kisiwani  Pemba

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Da Zitta: Filamu za Bongo Zinalipa

MAPRODYUZA wanaochipukia katika tasnia ya filamu wengi wao hawafikii malengo waliyojiwekea kutokana na kukatishwa tamaa na baadhi ya wasanii na maprodyuza wenye majina makubwa ambao wanaogopa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION

BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)...................................50,000/=BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)........................25,000/=ADSENSE (BLOGGERS UJIPATIE...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMA UNAHITAJI MC WA SHEREHE MC DR CHENI NI CHAGUO SAHIHI KWA SHEREHE YAKO

 Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Lewis Mbonde

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Jumatatu Ya March 21,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kichanga Mwingine Adaiwa Kufariki Dunia Kwa Uzembe Mkoani Mwanza

Matukio ya wajawazito kupoteza watoto kwa madai ya uzembe wa wahudumu wa afya yameendelea kuugubika Mkoa wa Mwanza baada ya mkazi wa Nyarawambo wilayani Sengerema Tatu Muhangwa, kujifungua na mtoto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto Afariki Kwa Kukosa Matibabu..Wazazi Waliamini Maombi Pekee

Mwanafunzi wa darasa la saba Shule ya Msingi Laela A, Ruti Sikapitaamefariki dunia baada ya wazazi wake kukataa kumpeleka hospitali  kwamadai kuwa imani ya dhehebu lao haliruhusu waumini wake  kutibiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kuteleza si Kuanguka, Chidi Benz Asaidiwe Anatia huruma sana

Hivi ndivyo Chidi Benz anavyoonekana  kwa sasa.  Katika mitandao ya kijamii Jumamosi iliyopita kulisambaa picha za rapa Chidi Benz ambazo zinamuonyesha jinsi alivyokonda na kupoteza ule mwili wake wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Ampongeza Dr. Shein kwa Kushinda Urais Zanzibar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za pongezi Rais Mteule wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein, kufuatia BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msafara wa Kamati ya Bunge Utawala na TAMISEMI Wapata Ajali Mbaya Bagamoyo...

WATU watano wamefariki dunia huku nane wamejeruhiwa, katika ajali iliyoyahusisha magari manne, mawili yakiwa katika msafara wa Kamati ya Bunge Utawala na TAMISEMI maeneo ya Kerege, Bagamoyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr. Ali Mohammed Shein Atangazwa Rasmi kuwa Mshindi wa Kiti Cha Urais...

Mgombea wa urais kupitia chama cha CCM Visiwani Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ameshinda kiti cha urais kwa jumla ya kura 299,982 awa na asilimia 91.4 ya kura zote halali 328,327 katika uchaguzi wa...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>