MZUKA WA KAZI UNAPOPANDA UNAJIKUTA UNACHEZA MZIKI BILA KUJIJUA
 Mc Dr Cheni akifanya yakedrchenitzSijuwi kwann kwenye sherehe siwezi kuvumilia nami mpaka nicheze akyamungu hapa nimejizua eti nimecheza Bila kujijuwa
View ArticlePicha nyingine za harusi ya Mr and Mrs Josephat Mc Dr Cheni nilihusika
Mr and Mrs Josephat picha kwa hisan ya Mc Dr Chen Mr and Mrs Josephat picha kwa hisan ya Mc Dr Chen Walikiwepo usiku wa Mr and Mrs Josephat picha kwa hisan ya Mc Dr Chen Walikiwepo usiku wa Mr and Mrs...
View ArticleKosa lililowasimamisha Wabunge Saba wa Upinzani
Bunge jana limeazimia kuwasimamisha vikao wabunge 7 wa kambi ya upinzani kwa kosa la kukiuka sheria na kanuni za bunge na kushinikiza kujadiliwa kwa hoja ambayo imekwisha tolewa maamuzi kinyume na...
View ArticleDIAMOND:" HAKUNA RECORD LABEL AMBAYO NAWEZA KUBALI INISAINISHE WATANIFANYIA...
 Diamond Platnumz hana mpango wa kuwa chini na record label yoyote duniani. Infact hitmaker huyo amedai kuwa makampuni kibao yamewahi kummendea yakitaka awe chini yake lakini akayapiga kibuti. BONYEZA...
View ArticleNyongeza Ya Majina ya Vijana Waliomaliza Kidato cha 6 Wanaotakiwa Kujiunga na...
 BONYEZA HAPA KUONA JINA LAKO NA KAMBI
View ArticleHongera sana hidaya usiku wako ulikua wakipekee autajirudia mungu akutangulie...
Bwana na bi harusi mtarajiwa Ben na hidaya picha kwa hisan ya Mc Dr Chen unaitaji kupigiwa picha zenye ubora basi tuone tukabidhi tukupigie picha kwenye sherehe yako            Mc Dr Chen na bi harusi...
View ArticleCALL +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION
CALL +255 658 194 194 BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)...................................50,000/=BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)........................25,000/=ADSENSE (BLOGGERS UJIPATIE...
View ArticleTOA ODA YAKO SASA KWA HUDUMA YA MC DR CHENI NI MSHEREHESHAJI BORA ZAIDI TANZANIA
 Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni        TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Lewis Mbonde
View ArticleAmboni Tanga: Watu 8 Wauawa kwa Kufichua vitendo vya Kihalifu
Watu kadhaa wa kijiji cha Mikocheni karibu na mapango ya Amboni mkoani Tanga wameuawa usiku wa kuamkia leo.Inasemekana watu waliouawa wanadaiwa kufichua vitendo vya uhalifu kijijini hapo na kwamba...
View ArticleMabadiliko Ya Tarehe Ya Kuripoti Katika Makambi Ya Jkt Kwa Vijana Wa Form Six...
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) linautangazia umma mabadiliko ya tarehe ya kuripoti makambini vijana wote waliohitimu kidato cha sita mwaka 2016 na kuchaguliwa kujiunga na mafunzo ya JKT kwa mujibu wa...
View ArticleRais Magufuli Ashiriki Katika Hafla Ya Utoaji Wa Tuzo Za Rais Kwa Wazalishaji...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wadau mbalimbali wa CTI na kutoka Sekta ya Viwanda nchini kabla ya kutoa Tuzo za Rais kwa viwanda vilivyofanya vizuri kwa...
View ArticleMauaji ya Kutisha: Watu 8 Wakamatwa Kwa Mwenyekiti wa Kitongoji na Kuchinjwa...
MAUAJI ya Watanzania kwa njia ya kuchinjwa yanaendelea kushika kasi baada ya usiku wa kuamkia jana wakazi wanane wa kitongoji cha Kibatini, kata ya Mzizima jijini Tanga kukusanywa kwa mwenyekiti wa...
View ArticleTaarifa toka Ikulu kuhusu uteuzi Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TANESCO
TAARIFA KWA UMMARais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli, amemteua Dkt. Alex L. Kyaruzi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania...
View ArticleSerikali ya Tanzania yasifika kwa kuwa na uongozi unaozingatia Sheria na...
Serikali ya Tanzania yasifika kwa kuwa na uongozi unaozingatia Sheria na Utawala Bora.Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na...
View ArticleHii Hapa Orodha ya Nchi kumi (10) Maskini Zaidi Duniani Mwaka 2016
Nchi inaweza kuwa maskini zaidi duniani kama wana Pato duni la Asili , Kuna rasilimali kidogo, ukosefu wa ajira na maendeleo ya chini ya kiteknolojia. Nchi hizi kuwa na rasilimali zisizoweza kulisha...
View ArticleMwanamke aliyekataa kuolewa achomwa hadi kufa Pakistan
Mwanamke mmoja wa Pakistan aliyechomwa kwa kukataa wito wa ndoa amefariki kutokana na majeraha yake.Maria Sadaqat ,mwalimu wa shule aliye na umri mdogo alishambulia nyumbani kwake na kundi moja la...
View ArticleSina amani imekuwa kama nimeua- Wema Sepetu
Msanii wa filamu na mjasiriamali Wema Sepetu amefunguka ya moyoni kutokana na namna mashabiki wake wa Instgram wanavyomchukulia na kumpa maneno ambayo muda mwingine yanamuumiza na kumkosesha amani na...
View Article