Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumatatu ya June 13 2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAIGIZAJI WALIOINGIAZA PESA NYINGI ZAIDI DUNIANI MWAKA HUU 2016

1. Jerry Seinfeld – Net worth: $820 millionJerry ni mwigizaji wa filamu nyingi za vichekesho zinazouza zaidi kutokana na kupendwa na watu wote kwenye familia.2. Shah Rukh Khan – Net worth: $600...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MC DR CHENI ALIHUSIKA VILIVYO KATIKA SHEREHE HII.JIONEE MWENYEWE

 bi harusi mtarajiwa maharusi wetu watarajiwa mc dr cheni na bi harusi mtarajiwaFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo:...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongereni Sana Mr and Mrs Raymond

 Hongera Mr and Mrs RaymondFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Wageni full kukabana

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais akagua mradi wa mabasi ya mwendo kasi na kugawa futari kwa...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa ndani ya moja ya mabasi ya mradi wa mabasi ya mwendo kasi ya UDA-RT jijini Dar es salaam ambayo kwa kiasi kikubwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu 50 Wauawa Baada ya mtu Mmoja Kushambulia klabu Huko Marekani

Raia wa Marekani, Omar Mateen, 29, ameishambulia kwa bunduki klabu ya mashoga iliyopo Orlando nchini Marekani.Mateen, anayetokea Port St. Lucie Florida, ameua takriban watu 50 na kujeruhi wengine 53 na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanasayansi: Mugabe ana Vinasaba vya Kuishi Milele

WANASAYANSI maarufu kutoka Taasisi moja kubwa ya Sayansi nchini Uingereza wametoa ripoti ya utafiti walioufanya ikithibitisha kwamba, Rais wa Zimbabwe, Komrade Robert Mugabe amegundulika kuwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi Wasiowapigia Saluti Wabunge Kukatwa Mshahara

Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Fakharia Khamis amehoji bungeni adhabu gani askari anapewa ikiwa atashindwa kutoa saluti kwa mbunge. Katika swali la nyongeza mbunge huyo alitaka kujua maana ya saluti kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumanne ya June 14 2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jb Awashukia Wasanii Wenzake Kuhusu Hili!

JACOB Stephen ‘JB’ msanii mahiri katika tasnia ya filamu Bongo amewashukia wasanii wenzake kwa kusema kuwa wengi hawapo makini na tasnia jambo ambalo linawafanya kupoteza mapato mengi kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Muhogo Mchungu Alia na Mitandao

Msanii mkongwe wa maigizo nchini Muhogo Mchungu amelalamikia watumiaji wa mitandao ya kijamii hasa vijana kwa mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.Muhogo MchunguMuhogo Mchungu ameyasema hayo katika mahojiano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yapiga Marufuku Uagizaji wa Transfoma za Umeme Kutoka nje ya Nchi....

Serikali imeliagiza Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO) kutoagiza transfoma nje ya nchi na badala yake kutumia zinazotengenezwa hapa nchini na kampuni ya Tanalec.Agizo hilo limetolewa leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu Hawajui Sisi Tuna Picha ya Diamond na Ali Kiba Wakiwa Wanaongea – Babu Tale

Mmoja kati ya viongozi wa juu wa label ya ‘WCB’, Babu Tale amesema watu hawajui kama Ali Kiba na Diamond wakikutana wanazungumza kama kawaida.ddAmesema hayo baada ya weekend hii kuzagaa picha katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Professor Jay atembelea ‘WCB’ ya Diamond, afurahishwa na uwekezaji...

Mbunge wa Mikumi ambaye ni msanii mkongwe wa muziki wa Hip Hop, Joseph Haule ‘Professor Jay’ Jumatatu hii alitembelea ofisi za WCB na kujionea uwekezaji uliyofanywa na rais wa label hiyo Diamond...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERA SANA USIKU UWAKO ULIPENDEZA SANAAA

 Bi harusi mtarajiwa na wapambe wake Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Bi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumatano ya June 15,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Basi la Kampuni ya Tahmeed Lateketea Kwa Moto

Basi la Abiria la Kampuni ya TAHMEED linalofanya safari zake kati ya Tanga- Dar es Salaam, limeteketea kwa moto katika barabara ya Chalinze- Segera.BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Ya Utekelezaji Wa Maagizo Ya Serikali Kuhusu Ukomo Wa Matumizi Ya...

1.0   UTANGULIZI1.1. Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ni taasisi ya Serikali yenye dhamana ya kusimamia shughuli za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta hapa nchini. Kuwepo kwa Sheria ya Mawasiliano ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maalim Seif afunguka kuhusu Lipumba, amesema alijiuzulu mwenyewe hakulazimishwa

Katibu mkuu wa CUF Maalim Seif amejitokeza na kuongelea hatua ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Prof. LIpumba ya kuomba kurudia nafasi ya Uenyekiti.Amesema kwamba maamuzi ya CUF hufanywa kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Inasikitisha:Mume Amnyonga Mkewe Hadi Kufa Kisa Kachelewa Kurudi...

MWANAMKE mmoja aliyejulikana kwa jina la Rehema Tumbo amenyongwa hadi kufa na mumewe, Raphael Kazembe kwa kutumia khanga kisa kikuu kikidaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi.Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>