Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haya Ndiyo Mafanikio ya Rais Magufuli Katika Kipindi cha Miezi 8 iliyopita

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARITAREHE 23/06/2016UTAFITI MIEZI 8 TOKA MHE RAIS JOHN MAGUFULI AMECHAGULIWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIANdugu waandishi wa habari habari za leo na pole kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Orodha Ya Majina Ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Na...

OR-TAMISEMI inawatangazia majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2016. BONYEZA HAPA KUYAONA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chid Benz Atoa ya Moyoni Aeleza Sababu Iliyomfanya Aingie Kwenye Matumizi ya...

Msanii wa muziki wa Hip Hop, Chidi Benz amefunguka na kueleza jinsi wadau wa muziki nchini wanavyosababisha wasanii wa muziki kuingia kwenye matumizi ya Madawa ya kulevya.Rapper huyo ambaye ameachana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bawa Kubwa la Ndege Laokotwa Kisiwani Pemba..Wataalamu Waanza Kulichunguza...

Bawa kubwa la ndege limeokotwa na wananchi jana katika Bahari ya Hindi kwenye Kisiwa cha Kojani, Pemba. Haijafahamika ni la ndege ya shirika gani.Sehemu ambayo inaaminika ni mabaki ya ndege imevuliwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Tanzania na Nje Leo Juni 25,2016-Yamo ya Udaku,Michezo na Hard News

MAGAZETI YA TANZANIA  Magazeti ya nje ya Tanzania

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mafisadi sasa Kufilisiwa, Kutupwa Jela Miaka 30

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jana lilipitisha kwa kauli moja Sheria ya Marekebisho Mbalimbali, ambayo pamoja na mambo mengine, yamempa Jaji Mkuu mamlaka ya kuanzisha Divisheni ya Rushwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: CCTV za Bunge zilivyonasa Tukio Zima la Goodluck Kuvuliwa ‘Baraghashia’

Ikiwa ni siku tatu zimepita tangu mbunge wa Ulanga Goodluck Mlinga kusimama bungeni na kuomba mwongozo wa spika kuhusu kitendo cha kuvuliwa kofia ‘baraghashia’ na mbunge wa viti maalum CHADEMA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof. Makame Mbarawa Amteua Mhandisi Deusdedit Conatus Vitalis Kakoko kuwa...

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIYAH: UTEUZI WA MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YABANDARI TANZANIA (TPA)Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Prof. Makame M. Mbarawa, leo tarehe 25 Juni, 2016 amemteua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tazama Masanja Mkandamizaji Akiwa Shambani

Msanii wa vichekesho wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya a.k.a Masanja Mkandamizaji ‘street pastor’ ameweka picha kadhaa mtandaoni kuonyesha jinsi anavyowajibika akiwa shambani kwake. Zicheki Hapa

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO TZ NA NJE,JUNE 26 2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Afanya mabadiliko madogo katika safu ya wakuu wa mikoa na...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 26 Juni, 2016 amefanya mabadiliko madogo katika safu ya wakuu wa mikoa na amewateua wakuu wa wilaya 139.BONYEZA HAPA KUYAONA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUBWA NA WANAWE WATOA MSAADA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA TEMEKE

Kituo cha kuvumbua na kuendeleza vipaji vya muziki cha Mkubwa na Wanawe, kimetoa msaada ya vifaa vya tiba na vifaa mbalimbali vikiwe vile vya usafi, dawa za meno, sabuni, maji na juisi kwa wodi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Magesa Mulongo

Rais John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Magesa Mulongo kuanzia jana. Taarifa iliyotolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa ikimnukuu Katibu Mkuu Kiongozi,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Alitaka Baraza Kuu la Waislamu Tanzania- BAKWATA Liombee Taifa...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dakta JOHN MAGUFULI amewahimiza viongozi wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania- BAKWATA- waendelee kuombea amani katika taifa na kukemea ipasavyo vitendo vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Tanzania Jumatatu ya June 27,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Juhudi za Richard Kasesela Zambakiza Ukuu wa Wilaya...Aandika Ujumbe Huu...

Richard Kasesela ni kati ya Wakuu wa wilaya 39 ambao wamebakia katika nafasi zao katika kazi ya ukuu wa Wilaya baada ya Jana Magufuli kutangaza wakuu wa Wilaya wapya..Baada ya Kutangazwa Wakuu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dude Alia na Hili Bongo Muvi

Muongozaji na mwigizaji mahiri wa filamu, Kulwa Kikumba ‘Dude’ anasema kuwa ili tasnia ya filamu isonge mbele lazima wasanii na wadau wote washikane na kuwa kitu kimoja ndio maslahi ya kweli yataoneka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION

  CALL +255 658 194 194              BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)..............................  60,000/=              BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)..................... 45,000/=...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOA ODA YAKO SASA KWA HUDUMA YA MC DR CHENI NI MSHEREHESHAJI BORA ZAIDI TANZANIA

 Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Lewis Mbonde

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aliyeondolewa Ukuu wa wilaya Lushoto ajitetea,adai hakubebwa.

Siku moja baada ya Rais John Pombe Magufuli kutangaza upya nafasi za wakuu wapya wa wilaya nchini, aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Lushoto mwenye umri mdogo kuliko wenzake ambaye jina lake limeondolewa...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live