Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bajeti Kuu Ya Serikali 2016/2017 Yapitishwa Bungeni Kwa Asilimia...

Serikali ya Tanzania imepitisha bajeti ya shilingi trilion 29.5 kwa kupigiwa kura huku wabunge wa upinzani wakiwa wametoka nje wakiwa wameziba midomo yao kwa karatasi na plasta ikiwa ni ishara ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JWTZ Yakanusha Taarifa za Kuibwa Kwa Kifaru

Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ)  limekanusha taarifa za kuibiwa kwa kifaru  cha jeshi zilizoripotiwa leo na gazeti la Dira  na kusema kuwa taarifa hizo hazina ukweli wowowte huku  likisisitiza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kesi ya Mauaji ya Mwanahabari, Daud Mwangosi Kuendelea Leo

Mahakama Kuu Kanda ya Iringa, jana iliahirisha kesi ya mauaji ya mwanahabari, Daud Mwangosi inayomkabili askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia Mkoa wa Iringa (FFU), Pasificus Simon hadi leo. Kesi hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUDIO: Wananchi Wamempeleka Polisi Mama wa Mtoto Kisa Mtoto ni Mwarabu

June 20 2016  Geah Habib kupitia Hekaheka ya Clouds FM  ametuletea Hekaheka kutokea Buguruni Dar es salam ambapo mama amepelekwa polisi na wananchi kisa mtoto anayedaiwa kuwa ni wa kwake ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mgombea Urais wa Marekani Donald Trump Anusurika Kuuwawa

Mwanamume mmoja raia wa Uingereza anayetuhumiwa kwa kupora bunduki ya afisa mmoja wa polisi katika mkutano wa kisaiasa wa Donald Trump, BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama yamgomea Mbowe...Yatupilia Mbali Kesi Yao Ya Kupinga Zuio La Polisi

KESI ya madai iliofunguliwa na Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya kuiomba mahakama kupiga marufuku zuio la Polisi, leo limetupiliwa mbali. Mbowe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTANZANIA MPENDA SELFIE ASHTAKIWA KWA KUMTHALILISHA MHUDUMU WA NDEGE

Raia wa Tanzania mwenye umri wa miaka 42 anashikiliwa na Mahakama Kuu ya makosa ya jinai ya jiji la Dubai, Falme za Kiarabu kwa tuhuma za kumdhalilisha mhudumu wa kike wa Shirika la Ndege la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERENI SANA HARUSI YENU ILINOGAA SANAA

Maharusi wakiingia ukumbini Mmenogaa sana maharusi Mungu awe nanyi ktk ndoa yenu Mkuu wa wilaya Temeke ndio mwenyekiti wa kamati Mc Dr Cheni kazini akihakikisha kila kitu kinaenda sawaFor Booking...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti yua Leo Jumatano ya June 22,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAPOKEA MSAADA WA MADAWATI 300 TOKA UBALOZI WA KUWAIT NCHINI TANZANIA.

Balozi wa Kuwait nchini Tanzania Mhe. Jaseem Al Najem akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akikabdhi msaada wa madawati kwa Waziri wa Mambo ya Njena Ushirikiano wa Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION

  CALL +255 658 194 194              BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)..............................  60,000/=              BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)..................... 45,000/=...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOA ODA YAKO SASA KWA HUDUMA YA MC DR CHENI NI MSHEREHESHAJI BORA ZAIDI TANZANIA

 Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Lewis Mbonde

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FAHAMU MAANA YA BRAND NA NAMNA UNAVYOWEZA KUJI-BRAND

 Na Lewis Mbonde +255 658 194194Kama unataka kuanzisha biashara, au umekwisha anzisha, basi hii mada inakuhusu. Na hata unataka kuajiriwa au unatafuta kazi bora zaidi uliyonayo, ni jambo la msingi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Alhamisi ya June 23 2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jamaa Avamiwa na Nyoka Chumbani Kwake Akiwa Amelala

Nyoka mkubwa ambaye alikuwa akiishi katika dari ya nyumba moja nchini Australia kwa takriban miaka 10 sasa ameamua kuingia katika chumba cha kulala.Mwenye nyumba hiyo Trina Hibberd kutoka eneo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamuziki Yound Dee Akiri Kutumia Madawa ya Kulevya Baada ya Kukana Kwa...

Rapper Young Dee hatimaye amethibitisha tetesi za miaka mingi kuhusu utumiaji wa madawa ya kulevya na kukiri kuwa ametumia kwa kipindi cha mwaka mmoja na nusu.“Sina mtu ambaye ninaweza kumlaumu, lakini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Usiku wa Mery Ulinogaa Sana chini ya MC DR CHENI ukumbi wa rivesidehall tar....

Bi harusi mtarajiwa Mery na Mc  wa sendoff yake Mc Dr Chenibi harusi mtarajiwa Mery akiingia ukumbini na mpambe wakeFully shangwee bi harusi mtarajiwa akiingia ukumbini na mpambe wakeMuda wa sara bi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Awaonya Wanasiasa Wanaomchelewesha Kufanya Kazi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli amewaonya wanasiasa wanaomchelewesha kufanya kazi ya kuwatumikia Watanzania.Rais Magufuli ameyasema hayo muda mfupi uliopita baada ya kupokea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Linah adai kuibiwa kwa akaunti yake ya Instagram kumemwathiri ‘nahisi mpaka...

Baada ya msanii wa Bongo Flava, Linah Sanga kupoteza akaunti yake ya Instagram yenye zaidi ya followers milioni 1.3, pamekuwepo na maneno mengi. Wapo wanaosema kuwa Linah ameiuza na kufungua nyingine...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Ijumaa ya June 24,2016

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>