Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamanda Sirro: Bado Tunamtafuta Sana Askofu Gwajima, Tumetumia Polisi wa...

Kamanda wa polisi jiji la Dar Simon Sirro amesema bado wanamtafuta sana askofu wa kanisa la ufufuo na uzima Josephat Gwajima na wametumia mtandao wa polisi wa kimataifa Interpol lakini bado hawajapata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA Yapata Kichapo Kutoka Kwa TP Mazembe

June 28 2016 klabu ya Dar es Salaam Young Africans ilirejea katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam ambao ndio uwanja inaoutumia kama uwanja wake wa nyumbani kucheza mechi yake ya pili hatua ya nane bora...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yakanusha Kupima Ukimwi Nyumba Kwa Nyumba

Kumekuwepo na taarifa mbalimbali zinazozagaa kwenye mitandao ya kijamii zinazotokana na habari iliyoandikwa na kuchapishwa kwenye gazeti la Jambo leo la tarehe 24 Juni, 2016, toleo namba 2482 yenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO TZ NA NJE,JUNE 29 2016

TANZANIAKENYAUK

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Alichokiandika Rais Magufuli kuhusu ugunduzi wa gesi ya Helium nchini Tanzania

Jana ziliripotiwa taarifa kuwa watafiti kutoka chuo kikuu cha Oxford na kile cha Durham kwa ushirikiano na wataalamu wa madini kutoka Norway wamegundua uwepo wa takriban futi bilioni 54 za hifadhi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AWAAPISHA WAKUU WA WATATU WA MIKOA NA KUZUNGUMZA NA WAKUU...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Juni, 2016 amewaapisha wakuu wa Mikoa watatu aliowateua Jumapili iliyopita tarehe 26 Juni, 2016. Wakuu wa Mikoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli amtania hivi Godwin Gondwe alipowaapisha wakuu wapya wa wilaya

Rais Dkt John Pombe Magufuli leo amewaapisha wakuu wapya wa wilaya 139 na wakuu wa mikoa wanne kwenye hafla iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam.Rais Magufuli akiwa na baadhi ya wakuu wa wilaya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Alhamisi ya June 30 2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto Auawa kwa Kupigwa fimbo na Baba wa Kambo

Mwanafunzi wa chekechea shule ya msingi Ilunga amefariki dunia baada ya kupigwa fimbo na baba yake wa kambo wilayani Magu mkoani Mwanza.Taarifa ya jeshi la polisi imeeleza kuwa mnamo tarehe 27.06.2016...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Amtumbua Mtu Aliyekuwa Akiiba Milioni 7 Kila Dakika Kwa...

RAIS Dk. John Magufuli amemtumbua mfanyabiashara mmoja maarufu Dar es Salaam, aliyebainika kufanya miamala ya fedha ya Sh milioni saba hadi nane kwa kila baada ya dakika moja.BONYEZA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Milioni 800 Kukusanywa na Mgodi wa Dhahabu Geita na TACAIDS Kuwasaidia...

ZAIDI ya Sh milioni 800 zinatarajiwa kukusanywa na Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) kwa kushirikiana na Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) kwa ajili ya kusaidia waathirika wa Virusi Vya Ukimwi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Afungukia Ugomvi Wake na Aunt

STAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu amefungukia ugomvi ambao hutokea mara kwa mara na shosti wake ambaye pia ni muigizaji, Aunt Ezekiel usiingiliwe na mtu kwani wanapogombana tofauti zao wanazimaliza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jerry Muro Aitwa Kamati ya Maadili TFF....Kisa Hichi Hapa

MKUU wa kitengo cha habari na Mawasiliano wa Yanha Jerry Muro ameitwa kwenye kikao cha kamati ya maadili cha Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini TFF kufuatia kitendo chake cha kupingana na kuishambulia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kodi ya Miamala ya Tigopesa, M-Pesa, Benki na Airtel Money kuanza Kutozwa...

Leo ndiyo mwanzo wa utekelezaji wa Sheria Fedha (Finance Act, 2016) iliyopitishwa katika Bajeti ya 2016/17 ambapo Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) itatozwa katika huduma za mitandao ya simu, benki na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakamani Kisutu: Watatu Mikononi Mwa Polisi Kwa Kubeba Mabango ya...

Jana wafuasi wa UKAWA walitiwa mbaroni baada ya kutoke mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe wa kumkashifu Mtukufu Mkuu sana, Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Ijumaa ya July 1 2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Awataka Wanufaika wa Mikopo ya Elimu Juu Kurejesha mikopo...

Wanufaika wa Mikopo ya Elimu ya Juu ambao tayari wapo katika ajira wametakiwa kurejesha marejesho ya mikopo waliyopewa kutokana na mfuko wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) kutegemea fedha hizo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kosa Moja Linaposahaulisha Mazuri 100 Uliyoyafanya – Mkasa wa Zamaradi na Shoga

Jumanne hii kwenye kipindi chake cha Take One, alirusha mahojiano na mwanaume anayejihusisha na mapenzi ya jinsia moja, tena aliyekubuhu na ambaye maisha hayo kwake ameyakubali na anayafurahia. Hicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Mc ni vizuri kusikiliza wateja wako kwa umakini sana nini wanataka" Mc Dr Cheni

Mc Dr Cheni akipata maelekezo kutoka kwa mteja wake

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumapili ya July 3, Ikiwemo ya Sinema Mpya Panga Pangua...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>