Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC Makonda Apiga "STOP" Ushoga,Utumiaji wa Sheesha na Kuvuta Sigara Hadharani

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amepiga marufuku vitu vitatu kutoonekana katika mkoa wa Dar es Salaam.Akizungumza kwenye kongamano la Dini lililofanyika jana katika uwanja wa Taifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwarobaini Wizi wa Bodaboda Wapatikana....VETA Wabuni Kifaa Cha Kudhibiti...

MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta), imebuni kifaa cha kudhibiti wizi wa magari na pikipiki za abiria maarufu bodaboda, kwa kutumia simu.Kwa kutumia kifaa hicho, dereva atakuwa na uwezo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongera Sana Mr and Mrs Emmanuel KILEWO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA MASTAA WALIOODHURIA SHINDANO LA KUSOMA QURAN DAR

Ni July 3, 2016 ambapo watu mashuhuri mbalimbali walikutana kwenye shindano la usomaji wa Quran ambapo tukio hilo lilihudhuriwa na mgeni rasmi Mbunge wa Chalinze, Mh.Ridhiwani Kikwete huku wakiwemo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA NYINGINE ZA HARUSI YA EMMANUEL KILEWO ILINOGA SANAA CHINI YA MC DR CHENI

 Mc Dr cheni nikiwajibika ipasavyo Hapa nikiendelea kufanya yanguMc Dr Cheni akitabasamu Maharusi wakiwa ktk nyuso za furaha Mc Dr Cheni nisimamia show mwanzo mwisho kuhakikisha wageni  waalikwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AMETUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA FAMILIA 29 WALIOPOTEZA MAISHA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC Gondwe rasmi ofisini kwake

Mtangazaji mkongwe Godwin Gondwe ni miongoni mwa wakuu wa Wilaya wapya walioteuliwa na Rais Magufuli ambaye mwishoni mwa wiki alikuwa ni miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya nane wa wilaya za mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Amuua mkewe kwa kumpiga na mti

Na Igenga Mtatiro, UWAZIMARA: Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Tarime na Rorya mkoani hapa, linamshikilia Hamis Nyamasinda, mkazi wa Kitongoji cha Ramboni, Kijiji cha Nyangoto, Nyamongo wilayani Tarime...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond ajibu kwanini kuna picha ya Alikiba kwenye ofisi za WCB

Diamond Platnumz amefunguka kuhusiana na picha ya Alikiba iliyowekwa katika ofisi za WCB.Akiongea na mtangazaji wa Clouds FM, Perfect Crispin katika Perfecto TV, amesema:“Unajua ofisi ya WCB sio ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOA ODA YAKO SASA KWA HUDUMA YA MC DR CHENI NI MSHEREHESHAJI BORA ZAIDI TANZANIA

Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Lewis Mbonde

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESHO NI SIKUKUU YA IDD ( EID UL FITR)

Kwa kipindi cha mwezi sasa waislamu walikuwa katika mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani wakitimiza  ibada ya nguzo za uislamu ambayo ni Kufunga.  Baadhi ya waislamu kutoka mataifa mbali mbali wakiwepo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majina ya Makatibu Tawala wa Wilaya Walioteuliwa na Serikali Leo

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JULY 6 2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Happy birthday mkuu wang wa Masoko Lewis Mbonde mwenye Laptop hapo Mungu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASATA Yapiga Marufuku Disco Toto kwenye sikukuu ya Eid

Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA, limesisitizia tena katazo lake dhidi ya disco toto kwenye sikukuu.“BASATA linawakumbusha wamiliki wote wa kumbi za burudani kwamba ni marufuku kukusanya watoto katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbwembwe za Madereva Barabarani zaua Mume, Mke na Mtoto

Ni kawaida kwa madereva wa mabasi ya kampuni moja kufanya mbwembwe wakati wanapokutana njiani kutoka mikoa tofauti, lakini za madereva wa City Boys hazikuwa kwenye mahesabu mazuri.Wako madereva...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Eid pili njema saba saba njema MC DR CHENI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watoto ya mimi wanawatakien sikukuu njema woteeee MC DR CHENI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Tanzania July 7, 2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA WAKURUGENZI 185 WA HALMASHAURI ZA MAJIJI,...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo July 07 2016 amefanya uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri za majiji 5, Manispaa 21, Miji 22 na Wilaya (DC) 137 za Tanzania...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>