Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wimbo ya Salome Waongoza Kwa Kununuliwa Huko Kenya Kati ya Nyimbo 100

Wimbo wa salome ulioimbwa kwa kukutanisha mafundi wawili kutokea lebo ya WCB Diamond Platnumz AKA Simba Jini na Rayvanny umekimbiza ile mbaya huku nchini Kenya kwa kushika namba moja kati ya nyimbo 100...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mimi sio msanii wa bongofleva wala sio msanii wa muziki wa bendi – Christian...

Mwanamuziki Christian Bella amedai utakuwa unamkosea ukimwita yeye ni msanii wa muziki wa bendi au msanii wa muziki wa bongofleva kwa kuwa anafanya muziki wa aina nyingi.Mkali huyo wa masauti ambaye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mwigulu Nchemba Aliagiza Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya kuwakamata...

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba ameagiza Jeshi la Polisi mkoani Mbeya kuwakamata walimu walioonekana kwenye video wakimwadhibu mwanafunzi vibaya. Tukio hilo lilitokea 28....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA ELIMU NDALICHAKO AWATUMBUA WALIMU WALIOREKODIWA WAKIMFANYIA UKATILI...

Hatimaye Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Ndalichako amewafukuza chuo walimu waliohusika na kumpiga mwanafunzi wa kidato cha tatu wa shule ya kutwa Mbeya. Kwa Mujibu wa TBC- Habari za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Updates !! HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WOTE WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA VYUO...

Vyuo Vikuu mbalimbali vimeanza kutoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kwenye vyuo vikuu mwaka wa masomo 2016/2017.Ili kuwarahisishia wasomaji wetu,tumeamua kukusanya vyuo vyote vilivyotoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kumbe Mtoboa Macho aliwahi kushinda milioni 20 za Dume Challenge, mshiriki...

Wiki hii, habari kubwa nchini ilikuwa ni tukio la mfanyabiashara, Said Ally kutobolewa macho,  usiku katika maeneo ya Buguruni Sheli jijini Dar es Salaam.Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAMVUA MADARAKA MKUU WA SHULE YA MBEYA DAY KWA KUFUMBIA MACHO...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Amfagilia Bakheresa....Amzawadia Eneo la Ardhi la Hekari...

RAIS Dk. John Magufuli, amemwagiza Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Charles Mwijage kumrudishia mfanyabiashara maarufu nchini, Said Salim Bakhresa sukari yake iliyozuiwa bandarini kwa sababu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majina Ya Wanafunzi Waliopata Mkopo Mwaka Wa Masomo 2016/2017----(Awamu ya...

Bodi ya mikopo ya elimu ya juu wametangaza majina ya wanafunzi waliopata mkopo 2016/2017 awamu ya kwanza.Hapa ni link ya kuangalia kama umepata au laah unaandika namba ya form 4 na code walizokupa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TCRA Yapiga Marufuku Uuzwaji wa Samsung Galaxy note 7 Hapa Nchini

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepiga marufuku uingizaji na usambazaji wa simu za mkononi za Smartphone Samsung Galaxy note 7 kwa kuwa zina matatizo ya betri.TCRA pia imewataka wananchi ambao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Tanzania Leo Jumamosi ya Octoba 22,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Alichosema Rais Magufuli kuhusu mikopo ya wanafunzi wa Vyuo Vikuu\

Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli amesema Serikali imetenga Shilingi Bilioni 483 kwa mwaka huu kwa ajili ya mikopo ya elimu ya juu ambapo wanafunzi zaidi ya 118,000 watanufaika.BONYEZA LEWIS MBONDE...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Aweka Jiwe La Msingi Mradi Wa Hosteli Za Wanafunzi Katika Chuo...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 21 Oktoba, 2016 ameweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa mabweni 20 ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli aagiza HESLB kuongeza kasi ya ukusanyaji wa madeni.

Na Beatrice Lyimo-MAELEZORais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Magufuli ameagiza Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu kutumia Sheria zilizopo kuongeza kasi ya ukusanyaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yakubali Kurejesha Posho ya Sh. 8500 kwa Siku kwa Wanafunzi wa Vyuo...

Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetuliza hasira za wanafunzi wa vyuo vikuu kwa kurejesha posho ya chakula na malazi ya Sh8,500 kwa kila mmoja na kwamba tofauti baina yao itakuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vita ya Kukabili Njaa Yatangazwa......Mikoa Yote Yatakiwa Kuimarisha Mifumo...

Mwezi mmoja tangu Serikali iseme usalama wa chakula ni kwa asilimia 123, jana Ofisi ya Waziri Mkuu imezitaka wizara, mikoa na halmashauri kuchukua hatua za kukabiliana na tishio la njaa ikiwamo kuzuia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

INSTAGRAM: Ujumbe wa Diamond Platnumz kama ulipanga kukosa MTV MAMA 2016

Najua watu wangu wa nguvu wanahamu ya kuona tuzo za MTV Mama 2016 zinazoandaliwa na kituo cha TV cha MTV Base Africa, lakini pia inawezekana kuna baadhi ya watu ambao wamebanwa na kazi na hawatapata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rose Ndauka: Filamu Bongo hazijashuka

Msanii wa Filamu Bongo, Rose Ndauka amedai kuwa ni upepo mchafu umepitia soko la filamu nchini na si kama ni kweli filamu zimeshuka thamani kama watu wanavyodai. Muigizaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Singeli Imenipa Nyumba na Gari – Man Fongo

Msanii wa muziki wa Singeli nchini Man Fongo amefunguka na kusema anashangaa mafanikio makubwa ambayo ameyapata ndani ya muda mfupi kupitia muziki wa Singeli hususani kupitia kazi yake ya ‘Hainaga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hawa Ndio Wasanii 3 Ambao Lulu Anawakubali Kwenye Bongo Fleva

Msanii mahiri wa filamu Bongo, Elizabeth Michael aka Lulu amewataja wasanii watatu anaowakubali kwenye muziki wa Bongo Fleva.Muigizaji huyo alikuwa akijibu swali la mmoja wa mashabiki wake kwenye...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>