MISEMO 6 INAYOKWAMISHA NDOTO NA MAFANIKIO YAKO
Kuiga mitindo ya kimaisha nalo limekuwa ni jambo ambalo linawaathiri watu wengi sana. Kuishi nje ya malengo uliyojiwekea na kukata tamaa ya maisha limekuwa tatizo sana. Kuishi maisha ambayo hayana...
View ArticleJamii Media yafungua Kesi ya Kikatiba kupinga Vifungu vya Sheria ya Makosa ya...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIKampuni ya Jamii Media, inayoendesha mitandao ya JamiiForums.com na FikraPevu.com imejijengea heshima na umaarufu kwa muda mrefu kutokana na namna inavyoendesha na...
View ArticleMkuu wa Mkoa wa Mwanza Aamuru Kukamatwa Papo hapo Walimu 8 Kwa Kujihusisha na...
Walimu wanane wa Shule ya Sekondari Mihama, Kata ya Kitangili, Wilaya ya Ilemela Mkoani Mwanza, wamesimamishwa kazi, watano kati yao wakishikiliwa na polisi kwa tuhuma za kufanya mapenzi na...
View ArticleDiamond Platnumz akutana na Kanye West, Los Angeles
Yoyote ambae anaufuatilia muziki wa Kanye West akikutana nae hawezi kuacha kupiga nae picha. Diamondalisafiri kuelekea Marekani Las Vegas kwa ajili ya kufanya show, ambapo kwenye maelezo ya hii picha,...
View ArticleCHUI AAMUA KUWA MPOLE ILI AOKOLE NA BINADAMU KUTOKA NDANI YA KISIMA
Chui akiwa kwenye kisimaMwanaume mmoja kutoka katika kijiji cha Guwahati nchini India amemuokoa chui kutoka kwenye kisima ambako alikuwa amedumbukia.Angalia picha jinsi ilivyokuwa:Mawanaume huyo...
View ArticleBOMU LALIPUKA MASKANI YA CCM HUKO ZANZIBAR
Kitu kinachosadikika kuwa bomu kimeripuka usiku wa kuamkia jana eneo la Michenzani mjini Unguja, eneo linalojulikana kama maskani maarufu ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mlipuko huo umezua...
View ArticlePicha: Lulu Michael Ndani ya Nollywood (Nigeria) Tuzo za Africa Viewers...
Muigizaji mwenye mvuto wa aina yake bongo, elizabeth michael , maarufu kama lulu, ametua nchini Nigeria kwenye sherehe za ugawaji tuzo za Africa viewers choice awards(AMVA 2016) zinazofanyika nchini...
View ArticleDR CHENI AWAPONGEZA LULU NA RICHIE KWA USHINDI
Dr CheniHongera sana ndugu zangu kwa ushindi huo mmetupa thamani kubwa Tanzania hongera @richiemtambalike hongera mwanangu kipenzi @elizabethmichaelofficial tuzo mliyopata ni ya watanzania nyie...
View ArticleLulu Michael Aitoa Kimaso Maso Tanzania....Ashinda Tuzo Movie Bora Afrika...
Please join me to Salute another Tanzanian hero hapa Lagos Super Star Lulu Michael kwa kushinda tuzo ya filamu bora Afrika Mashariki (Best Movie – East Africa) kupitia Mapenzi. Muigizaji huyo...
View ArticleRichie Ashinda Tuzo ya Filamu Bora Ya Kiswahili, Afrika!.
Star wa Bongo Movie wa Kitanzania, Single Mtanzania, Single Mtambalike, "Richie Rich", meshinda tuzo ya filamu bora ya Kiswahili katika tuzo za filamu za Afrika huko Nigeria usiku huu.Richie ameshinda...
View ArticleAzam FC Vs Yanga zatoka sare 2-2, Juma Abdul Afanya Maajabu Ajifunga na...
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea leo katika uwanja wa Taifa Dar Es Salaam, vilabu vya Azam FC na Dar Es Salaam Young Africans, vilishuka dimbani kucheza mchezo wao wa marudiano wa Ligi Kuu...
View ArticleDc -Paul Makonda Azindua Vitambulisho Vya Walimu Kupanda Daladala Bure Jijini...
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amezindua vitambulisho vitakavyotumiwa na walimu kupanda daladala bure wakati wakitoka nyumbani kwenda kazini.Katika hatua nyingine Makonda ameziomba sekta...
View ArticleCALL NOW +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE...
BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)...................................50,000/=BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)........................25,000/=ADSENSE (BLOGGERS UJIPATIE...
View ArticleKAMA UNAHITAJI MC WA SHEREHE MC DR CHENI NI CHAGUO SAHIHI KWA SHEREHE YAKO
Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Lewis Mbonde
View ArticleRais Magufuli Ampiga Chini Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue.....John...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amemteua Balozi Mhandisi John William Kijazi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Kabla ya uteuzi huo Mhandisi Kijazi alikuwa Balozi wa Tanzania...
View ArticleNi Kipi Hasa Kilichomuondoa Balozi Ombeni Sefue Ikulu? Atapangiwa Kazi Gani...
Tumekuwa tukipaza sauti kuwa mtu anayeondolewa kwenye nafasi yake ya utumishi basi ni lazima zitolewe sababu za msingi za kuondolewa kwake! Haiwezekani katibu mkuu kiongozi anaondolewa kimyakimya tu...
View ArticleUshindi wa Lulu na Richie kwenye AMVCA 2016 utaziongezea pumzi filamu za...
Tuzo za Africa Magic Viewers Choice Awards, ni sawa na Oscars za Afrika. Ndiyo tuzo kubwa zaidi zinazoikutanisha tasnia ya filamu Afrika nzima pamoja.Utofauti kati ya tuzo za Oscars na AMVCA ni kuwa...
View Article